Ndengaso
JF-Expert Member
- Jul 18, 2014
- 7,831
- 14,259
Nimesikitika kuona kumbe alikua member wa Jamii Forums Haitham Kim
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sina hakika ila najua haytham na niite bosheni wako muda mrefu inafika hata miaka mitano au zaidi wako pamoja Kuna kipindi walitengana nadhani baadae wakarudianaga!!!walikua wanapenda sana Hawa haytham na niite bosheniHuyo Bosheni si ndio kazaa na amber lulu?
Hana majivuno,hajisikiii,Hana dharau anaishi maisha ya kawaida sana yule mama very humble woman!!!humsikii kwenye ushenzi Wa aina yoyote Riyama Wala majisifuHuyo Riyama mbona kila mtu anasema atamchangia yeye ana nini hasa mpaka achangiwe?
Mrangi uliwaza Nini ..Si waende kwa uwoya
Hilo tatizo analimaliza mwenyewe
Le bilionea
Ova
Kabisa mtoto mzuri mnoookalikuwa kazuri dah
siku zote sijui nilikuwaga wapi.. alafu alikuwa member humu na PM yake hakuwa amefunga.. ila basi bana.. udongo umepata rutuba..Kabisa mtoto mzuri mnooo
Wewe unadhani ile kazi ni rahisi kivile nyingi atakua anafanya bure malipo yake anapewa ngenyaIna maana Niiteboshen kakosa laki 7 ya kulipia? Au zile tattoo anachora bure?
siku zote sijui nilikuwaga wapi.. alafu alikuwa member humu na PM yake hakuwa amefunga.. ila basi bana.. udongo umepata rutuba..
Laki 7 sio ya kuuza range weweSo unashauri aliuze??
Vipi kama Range ni la boss ye kapewa avimbie tu?
😁😁😁Wewe unadhani ile kazi ni rahisi kivile nyingi atakua anafanya bure malipo yake anapewa ngenya
😭😭😭😭 basi tu banaaaa... ushunguuuu sanaaaa... nalia tu hapaaaAmini kaka udogo unachukua vitu vizuri saana yaani😭😭
Hio Bima ya NMB gharama zao zikoj kama hutojaliNashauri watanzania tujiunge na mifuko ya bima ya Afya...NMB Wana bima ya Afya affordable..
Mwenyezi Mungu amponye.
Mbona Ukimwi siyo ugonjwa tishio kwa sasa?Solo hilo la Dally Kimoko Mkuu wangu
Nimesikitika kuona kumbe alikua member wa Jamii Forums Haitham Kim
Na akwambie wanacover nini na nini, maana hata Tigo wana bima pia.Hio Bima ya NMB gharama zao zikoj kama hutojali
Hadi mimi aisee mtoto mweupee daah😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 basi tu banaaaa... ushunguuuu sanaaaa... nalia tu hapaaaView attachment 2735689
Ila kazi nitaweza kuifanya labda nikiwa nimehasiwa.Wewe unadhani ile kazi ni rahisi kivile nyingi atakua anafanya bure malipo yake anapewa ngenya
Inabidi twende msibani.. 😭😭😭😭Hadi mimi aisee mtoto mweupee daah😭😭😭😭😭😭
Halafu wewe ukanishtaki kwa moderator nikapigwa bun sawa tuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hayaaa dragon mtoto kula chuma hiko