Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Kabisa yaani πInabidi twende msibani.. ππππ
π€§π€§π€§π€§π€§
Mbona inasemekana Kesha RIP?
apumzike kwa amani Haitham Kim wetu πππππ€§π€§π€§π€§Kabisa yaani π
Hii vita yenu inapoelekea sio kuzuriJifunze kusugua kisigino chako kwanza kabla hujavaa ndala zako za manyoya ndio uje kunifundisha jinsi ya kubalance shobo.
Hata kama anayo ila inapofikia tiba yake sindano kwa siku 700k bima ipi itafaa, hata kama angekuwa na bima ya 3.5m kwa mwaka pia isingetosha lazima angetakiwa kulipia gharama za ziada kwasababu sio kila bima inabeba maradhi yote otherwise ile bima premium ambayo ni ghali, possibly alikuwa na lupus ni ugonjwa unaohitaji pesa sana sitashangaa.Hana Bima?
Sio wasanii sababu wao wana watu wa kuwapazia sauti,inshu ni je wananchi wangap wanaumwa na hawana watu wa kuwapazia sauti hadi serikali iwasaidie?Serikali za afrika za kifala fala sana.Sasa serikali ita cover under whichi basics!? Yeye kama nani?
Wasanii wangapi wanaumia na serikal haina habar nao?
NB.
Sina nia mbaya
Nimesoma kwenye Millard Ayo a/cNaona Wasanii mbalimbali Wamepost wakisema kwamba anaumwa Watu watume pesa Achangiwe Bila kusema Shida ni nini
Huku Baadhi ya Comments zikisema Binti ambaye ni Msanii amekuwa akitumia Bangi na Kuvuta Shisha sana, je ni nini Hasa Kinamsibu?
Nimesoma kweny Ayo account, huyo msanii kafariki Temeke hospital
Duh!Hata kama anayo ila inapofikia tiba yake sindano kwa siku 700k bima ipi itafaa, hata kama angekuwa na bima ya 3.5m pia isingetosha lazima angetakiwa kulipia gharama za ziada kwasababu sio kila bima inabeba maradhi yote otherwise ile bima premium ambayo ni ghali, possibly alikuwa na lupus ni ugonjwa unaohitaji pesa sana sitashangaa.
Mtu wangu wa karibu alikuwa nao kila baada ya miezi 3 sindano yake ni 2.8m
Inasikitisha sana.Ndio maana nasema huu ni upumbavu sanaSio wasanii sababu wao wana watu wa kuwapazia sauti,inshu ni je wananchi wangap wanaumwa na hawana watu wa kuwapazia sauti hadi serikali iwasaidie?
Nasikitika Kusema Kwamba Binti na msanii Haitham kim Amefariki DuniaNaona Wasanii mbalimbali Wamepost wakisema kwamba anaumwa Watu watume pesa Achangiwe Bila kusema Shida ni nini
Huku Baadhi ya Comments zikisema Binti ambaye ni Msanii amekuwa akitumia Bangi na Kuvuta Shisha sana, je ni nini Hasa Kinamsibu?
Okay nimekupataHana majivuno,hajisikiii,Hana dharau anaishi maisha ya kawaida sana yule mama very humble woman!!!humsikii kwenye ushenzi Wa aina yoyote Riyama Wala majisifu
Kuna clip niliona mahali nikajisemea kweli kuna kazi na kazi,hivi kweli mwanamke amebarikiwa mashaallah anakubon'golea tako umchore tatoo kwenye tako[emoji16][emoji16][emoji16]
Bado wewe. Jiandaa kuwa.chakula cha funza na acha madharau na kelele humu.Amini kaka udogo unachukua vitu vizuri saana yaaniππ
KhaSitumi hela kwa dragon aisee.. Ukienda Small Planet uwakute hawa ata kuwasogelea huruhusiwi. Na. Meza zao zipo reserved.
Pole π lile ni kosa hapa JF kujifanya unajua kuita watu majina tofauti na wanayoyatumia kwa wakati huoHalafu wewe ukanishtaki kwa moderator nikapigwa bun sawa tuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Alikuwa wa kawaida sana! Make up ndiyo inakuzuzua!kalikuwa kazuri dah