Haitopita miezi miwili bila Waziri Masauni au IGP Wambura kung'olewa ofisini

Haitopita miezi miwili bila Waziri Masauni au IGP Wambura kung'olewa ofisini

Habari zenu wanaJF wenzangu,

Hawa jamaa wawili ni kama vile wamepewa majukumu makubwa wasiyoyaweza. Watu wanatekwa, wanauwawa na wengine kupotezwa kimya kimya wao wanaangalia tu. Sasa sijui jukumu la waziri wa mambo ya ndani na IGP ni nini?

Sikatai kwamba inawezekana polisi au serikali haihusiki na yanayoendelea, sikatai kwamba inawezekana kuna kundi la majambazi na watu wasioitakia mema nchi yetu wanaweza kufanya haya ili zigo liiangukie polisi na serikali, lakn wao kama serikali kupitia vitengo vyao vya upelelezi wamefanya nini kuzuia haya yasiendelee kutokea?

Inashangaza katika nchi tunayosema ni ya amani askari anashindwa hata kuvaa sare kwenda kumkamata mtuhumiwa kweli!! Je sare za polisi zilishonwa kwa ajili ya kina nani?

Unakuta kundi la watu wanne au watatu likiwa limevaa nguo za kawaida, eti linaenda kumkamata mtu mwembe chai, likiulizwa nyinyi ni kina nani linasema sisi ni askari kutoka mwenge tumekuja kumkamata mtuhumiwa.

Sasa unajiuliza inakuaje askari atoke mwenge kuja kumkamata mtuhumiwa mwembechai, je magomeni askari wameisha, kwanini wasitumiwe askari wa magomeni kumkamata mtuhumiwa? Hiyo tisa, kumi je kwanini hawana sare za polisi, RB, barua ya mjumbe au mwenyekiti wa serikali ya mtaa nk.

Sasa kwa style hii ya ukamataji mnafikiri watu wabaya hawatokosa kujipenyeza ni kufanya haya kwa maadui zao wakijua kwamba jumba bovu litawaangukia polisi na mamlaka?

Kwanini hamrudishi utaratibu mzuri wa ukamataji wa kufuata sheria? Au mpaka mtumbuliwe ndo muanze kufikiria ambayo mngefanya. Maana tumeshaanza kusikia mpaka wanafunzi na viongozi wa dini wanapotea na wengine kukutwa wameuwawa.

Kuna uwezekano mkubwa wa Masauni na Wambura kukalia kuti kavu. Very soon time will tell us...
Yaani wanamuaminisha Mh Rais mambo uongo na bado wapo Ofisini hadi leo ni ajabu kabisa.
 
Yaani wanamuaminisha Mh Rais mambo uongo na bado wapo Ofisini hadi leo ni ajabu kabisa.
Hawa dawa yao ipo jikoni. Wangesoma dalili za nyakati kabla hawajatumbuliwa na kuaibishwa kwa kutumbuliwa kwao.
 
Hawa dawa yao ipo jikoni. Wangesoma dalili za nyakati kabla hawajatumbuliwa na kuaibishwa kwa kutumbuliwa kwao.
Hakuna lolote, rais anajua kila kitu na haya yanayofanyika sasa ni mpango wake kutisha wapinzani kuelekea uchaguzi chaguzi. Hata akiwatumbua hao itakuwa ni funika kombe mwanharamu apite, lakini huu utekaji na mauji ya wapinzani yeye ndio msimamizi.
 
Habari zenu wanaJF wenzangu,

Hawa jamaa wawili ni kama vile wamepewa majukumu makubwa wasiyoyaweza. Watu wanatekwa, wanauwawa na wengine kupotezwa kimya kimya wao wanaangalia tu. Sasa sijui jukumu la waziri wa mambo ya ndani na IGP ni nini?

Sikatai kwamba inawezekana polisi au serikali haihusiki na yanayoendelea, sikatai kwamba inawezekana kuna kundi la majambazi na watu wasioitakia mema nchi yetu wanaweza kufanya haya ili zigo liiangukie polisi na serikali, lakn wao kama serikali kupitia vitengo vyao vya upelelezi wamefanya nini kuzuia haya yasiendelee kutokea?

Inashangaza katika nchi tunayosema ni ya amani askari anashindwa hata kuvaa sare kwenda kumkamata mtuhumiwa kweli!! Je sare za polisi zilishonwa kwa ajili ya kina nani?

Unakuta kundi la watu wanne au watatu likiwa limevaa nguo za kawaida, eti linaenda kumkamata mtu mwembe chai, likiulizwa nyinyi ni kina nani linasema sisi ni askari kutoka mwenge tumekuja kumkamata mtuhumiwa.

Sasa unajiuliza inakuaje askari atoke mwenge kuja kumkamata mtuhumiwa mwembechai, je magomeni askari wameisha, kwanini wasitumiwe askari wa magomeni kumkamata mtuhumiwa? Hiyo tisa, kumi je kwanini hawana sare za polisi, RB, barua ya mjumbe au mwenyekiti wa serikali ya mtaa nk.

Sasa kwa style hii ya ukamataji mnafikiri watu wabaya hawatokosa kujipenyeza ni kufanya haya kwa maadui zao wakijua kwamba jumba bovu litawaangukia polisi na mamlaka?

Kwanini hamrudishi utaratibu mzuri wa ukamataji wa kufuata sheria? Au mpaka mtumbuliwe ndo muanze kufikiria ambayo mngefanya. Maana tumeshaanza kusikia mpaka wanafunzi na viongozi wa dini wanapotea na wengine kukutwa wameuwawa.

Kuna uwezekano mkubwa wa Masauni na Wambura kukalia kuti kavu. Very soon time will tell us...
Mwanzoni kama wewe na wengine wengi, Masauni na Wambura nilidhani Watakalia kuti kavu.
Lakini baada ya kusikiliza hotuba ya Malkia chura kiziwi... Naomba tu nikwambie... MASAUNI, WAMBURA & Co. wana baraka zote!
 
Habari zenu wanaJF wenzangu,

Hawa jamaa wawili ni kama vile wamepewa majukumu makubwa wasiyoyaweza. Watu wanatekwa, wanauwawa na wengine kupotezwa kimya kimya wao wanaangalia tu. Sasa sijui jukumu la waziri wa mambo ya ndani na IGP ni nini?

Sikatai kwamba inawezekana polisi au serikali haihusiki na yanayoendelea, sikatai kwamba inawezekana kuna kundi la majambazi na watu wasioitakia mema nchi yetu wanaweza kufanya haya ili zigo liiangukie polisi na serikali, lakn wao kama serikali kupitia vitengo vyao vya upelelezi wamefanya nini kuzuia haya yasiendelee kutokea?

Inashangaza katika nchi tunayosema ni ya amani askari anashindwa hata kuvaa sare kwenda kumkamata mtuhumiwa kweli!! Je sare za polisi zilishonwa kwa ajili ya kina nani?

Unakuta kundi la watu wanne au watatu likiwa limevaa nguo za kawaida, eti linaenda kumkamata mtu mwembe chai, likiulizwa nyinyi ni kina nani linasema sisi ni askari kutoka mwenge tumekuja kumkamata mtuhumiwa.

Sasa unajiuliza inakuaje askari atoke mwenge kuja kumkamata mtuhumiwa mwembechai, je magomeni askari wameisha, kwanini wasitumiwe askari wa magomeni kumkamata mtuhumiwa? Hiyo tisa, kumi je kwanini hawana sare za polisi, RB, barua ya mjumbe au mwenyekiti wa serikali ya mtaa nk.

Sasa kwa style hii ya ukamataji mnafikiri watu wabaya hawatokosa kujipenyeza ni kufanya haya kwa maadui zao wakijua kwamba jumba bovu litawaangukia polisi na mamlaka?

Kwanini hamrudishi utaratibu mzuri wa ukamataji wa kufuata sheria? Au mpaka mtumbuliwe ndo muanze kufikiria ambayo mngefanya. Maana tumeshaanza kusikia mpaka wanafunzi na viongozi wa dini wanapotea na wengine kukutwa wameuwawa.

Kuna uwezekano mkubwa wa Masauni na Wambura kukalia kuti kavu. Very soon time will tell us...
Nani Kakudanganya!?
 
Habari zenu wanaJF wenzangu,

Hawa jamaa wawili ni kama vile wamepewa majukumu makubwa wasiyoyaweza. Watu wanatekwa, wanauwawa na wengine kupotezwa kimya kimya wao wanaangalia tu. Sasa sijui jukumu la waziri wa mambo ya ndani na IGP ni nini?

Sikatai kwamba inawezekana polisi au serikali haihusiki na yanayoendelea, sikatai kwamba inawezekana kuna kundi la majambazi na watu wasioitakia mema nchi yetu wanaweza kufanya haya ili zigo liiangukie polisi na serikali, lakn wao kama serikali kupitia vitengo vyao vya upelelezi wamefanya nini kuzuia haya yasiendelee kutokea?

Inashangaza katika nchi tunayosema ni ya amani askari anashindwa hata kuvaa sare kwenda kumkamata mtuhumiwa kweli!! Je sare za polisi zilishonwa kwa ajili ya kina nani?

Unakuta kundi la watu wanne au watatu likiwa limevaa nguo za kawaida, eti linaenda kumkamata mtu mwembe chai, likiulizwa nyinyi ni kina nani linasema sisi ni askari kutoka mwenge tumekuja kumkamata mtuhumiwa.

Sasa unajiuliza inakuaje askari atoke mwenge kuja kumkamata mtuhumiwa mwembechai, je magomeni askari wameisha, kwanini wasitumiwe askari wa magomeni kumkamata mtuhumiwa? Hiyo tisa, kumi je kwanini hawana sare za polisi, RB, barua ya mjumbe au mwenyekiti wa serikali ya mtaa nk.

Sasa kwa style hii ya ukamataji mnafikiri watu wabaya hawatokosa kujipenyeza ni kufanya haya kwa maadui zao wakijua kwamba jumba bovu litawaangukia polisi na mamlaka?

Kwanini hamrudishi utaratibu mzuri wa ukamataji wa kufuata sheria? Au mpaka mtumbuliwe ndo muanze kufikiria ambayo mngefanya. Maana tumeshaanza kusikia mpaka wanafunzi na viongozi wa dini wanapotea na wengine kukutwa wameuwawa.

Kuna uwezekano mkubwa wa Masauni na Wambura kukalia kuti kavu. Very soon time will tell us...
Hawa walipaswa kuondoshwa mwezi uliopita.
 
Masauni kashindwa kujifunza hekma kutoka kwa mzee wa hekma hayati alhaji mzee Ally Hassan Mwinyi ambae yeye alijiuzulu hata kwa makosa ambayo yalitokea bila yeye kuamrisha yatokee.

Yeye anaona bora ang'ang'anie madaraka asioyaweza, huku raia wasiokuwa na hatia wengine wanafunzi wakiendelea kupotea katika mazingira ya kutatanisha, wengine kutekwa na kuuwawa bila sababu za msingi.
Ana wake wawili huyo, wanahitaji mpunga.
 
Hakuna lolote, rais anajua kila kitu na haya yanayofanyika sasa ni mpango wake kutisha wapinzani kuelekea uchaguzi chaguzi. Hata akiwatumbua hao itakuwa ni funika kombe mwanharamu apite, lakini huu utekaji na mauji ya wapinzani yeye ndio msimamizi.
Inawezekana ikawa kweli anahusika, au inawezekana pia akawa hausiki. Lakini kama anahusika atakuwa anahusika kwa sababu ipi ikiwa inaaminika kuwa katiba iliyopo hata wapinzani wakimsimamisha malaika, na CCM ikasimamisha jiwe, bado jiwe litamshinda malaika kwa kura nyingi zaidi katika uchaguzi.

Mimi nahisi kuna watu fulani, au wanasiasa fulani wanatumia ukimya wa serikali kufanya yao, kwa vile wanaona serikali haina muda wa kushughulikia haya yanayoendelea, hivyo kila mtu anatumia mwanya huo ku deal na adui yake kwa kisingizio cha wasiojulikana.

Hata panya road walipokuwa wanauwa na kujeruhi watu, serikali ilikuja kuingilia kati baadae kabisa baada ya kelele nyingi kutoka kila kona ya nchi. So sidhani kuwa na wao walikuwa wanatumwa na raisi.
 
Hawa walipaswa kuondoshwa mwezi uliopita.
Kama ni waerevu wangetoka mapema kabla ya kusubiri kuvuliwa nguo kama kina January. Na wao ilikuwa ni hivi hivi wakavimba vichwa na kujiona kuwa hawawezi kufanywa lolote.
 
Back
Top Bottom