Mr Dudumizi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2020
- 7,799
- 14,215
- Thread starter
- #61
Ulichoandika kinaonesha ulivyo kweupe kichwani.Kung'olewa kwani jino hilo, akili zenu machadema kama za kuku tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulichoandika kinaonesha ulivyo kweupe kichwani.Kung'olewa kwani jino hilo, akili zenu machadema kama za kuku tu
Kweupe kwa maana ya mvi au vipi?Ulichoandika kinaonesha ulivyo kweupe kichwani.
Ulivyoelewa ndio hivyo hivyo nilivyomaanisha.Kweupe kwa maana ya mvi au vipi?
Mdumavu weUlivyoelewa ndio hivyo hivyo nilivyomaanisha.
🤣🤣🤣Samaani masauni ni mzenji.... Labda wambula
Hapo sawaSamaani masauni ni mzenji.... Labda wambula
Maza hawezi kutengua mzanzibar mwenzake hata dak 1, tangu ameingia sijawahi kusikia mzanzibar ameondolewaKama ni waerevu wangetoka mapema kabla ya kusubiri kuvuliwa nguo kama kina January. Na wao ilikuwa ni hivi hivi wakavimba vichwa na kujiona kuwa hawawezi kufanywa lolote.
Kumbe ndomaana wanaharibu, kwa sababu wanajua kuwa hakuna mtu wa kuwatoa. Basi wajue kwamba kila lenye mwanzo lina mwisho.Maza hawezi kutengua mzanzibar mwenzake hata dak 1, tangu ameingia sijawahi kusikia mzanzibar ameondolewa
Nimesema miezi miwili. Sasa hizo week zako tatu hazijaenea hata mwezi mmoja. Tulia usiwe na haraka.Inaelekea wiki ya 3 sasa. Huyo mganga wako msanii.
nimekurupuka😀Nimesema miezi miwili. Sasa hizo week zako tatu hazijaenea hata mwezi mmoja. Tulia usiwe na haraka.
Huo mwisho mpka ufike tutakuwa tumeumia vya kutoshaKumbe ndomaana wanaharibu, kwa sababu wanajua kuwa hakuna mtu wa kuwatoa. Basi wajue kwamba kila lenye mwanzo lina mwisho.
Siku wasioijua inakuja.
Yes 😂😂😂nimekurupuka😀