Haitopita miezi miwili bila Waziri Masauni au IGP Wambura kung'olewa ofisini

Haitopita miezi miwili bila Waziri Masauni au IGP Wambura kung'olewa ofisini

N
Habari zenu wanaJF wenzangu,

Hawa jamaa wawili ni kama vile wamepewa majukumu makubwa wasiyoyaweza. Watu wanatekwa, wanauwawa na wengine kupotezwa kimya kimya wao wanaangalia tu. Sasa sijui jukumu la waziri wa mambo ya ndani na IGP ni nini?

Sikatai kwamba inawezekana polisi au serikali haihusiki na yanayoendelea, sikatai kwamba inawezekana kuna kundi la majambazi na watu wasioitakia mema nchi yetu wanaweza kufanya haya ili zigo liiangukie polisi na serikali, lakn wao kama serikali kupitia vitengo vyao vya upelelezi wamefanya nini kuzuia haya yasiendelee kutokea?

Inashangaza katika nchi tunayosema ni ya amani askari anashindwa hata kuvaa sare kwenda kumkamata mtuhumiwa kweli!! Je sare za polisi zilishonwa kwa ajili ya kina nani?

Unakuta kundi la watu wanne au watatu likiwa limevaa nguo za kawaida, eti linaenda kumkamata mtu mwembe chai, likiulizwa nyinyi ni kina nani linasema sisi ni askari kutoka mwenge tumekuja kumkamata mtuhumiwa.

Sasa unajiuliza inakuaje askari atoke mwenge kuja kumkamata mtuhumiwa mwembechai, je magomeni askari wameisha, kwanini wasitumiwe askari wa magomeni kumkamata mtuhumiwa? Hiyo tisa, kumi je kwanini hawana sare za polisi, RB, barua ya mjumbe au mwenyekiti wa serikali ya mtaa nk.

Sasa kwa style hii ya ukamataji mnafikiri watu wabaya hawatokosa kujipenyeza ni kufanya haya kwa maadui zao wakijua kwamba jumba bovu litawaangukia polisi na mamlaka?

Kwanini hamrudishi utaratibu mzuri wa ukamataji wa kufuata sheria? Au mpaka mtumbuliwe ndo muanze kufikiria ambayo mngefanya. Maana tumeshaanza kusikia mpaka wanafunzi na viongozi wa dini wanapotea na wengine kukutwa wameuwawa.

Kuna uwezekano mkubwa wa Masauni na Wambura kukalia kuti kavu. Very soon time will tell us...
Nani amuguse Home Boy ! Unaota ndoto za mchana wewe
 
Inawezekana ikawa kweli anahusika, au inawezekana pia akawa hausiki. Lakini kama anahusika atakuwa anahusika kwa sababu ipi ikiwa inaaminika kuwa katiba iliyopo hata wapinzani wakimsimamisha malaika, na CCM ikasimamisha jiwe, bado jiwe litamshinda malaika kwa kura nyingi zaidi katika uchaguzi.

Mimi nahisi kuna watu fulani, au wanasiasa fulani wanatumia ukimya wa serikali kufanya yao, kwa vile wanaona serikali haina muda wa kushughulikia haya yanayoendelea, hivyo kila mtu anatumia mwanya huo ku deal na adui yake kwa kisingizio cha wasiojulikana.

Hata panya road walipokuwa wanauwa na kujeruhi watu, serikali ilikuja kuingilia kati baadae kabisa baada ya kelele nyingi kutoka kila kona ya nchi. So sidhani kuwa na wao walikuwa wanatumwa na raisi.
Kwani hao panya road walikuwa wanamchafua rais?
 
Kwani hao panya road walikuwa wanamchafua rais?
Raisi ni kama kocha. Timu inapofanya vibaya lawama anabeba kocha, na nchi inapokosa usalama lawama anabeba raisi. Hivyo waliyofanya panya road yaliichafua serikali ambayo inaongozwa na raisi.
 
Raisi ni kama kocha. Timu inapofanya vibaya lawama anabeba kocha, na nchi inapokosa usalama lawama anabeba raisi. Hivyo waliyofanya panya road yaliichafua serikali ambayo inaongozwa na raisi.
Ni wapi hao panya road ilisemekana wanatumwa na serekali? Ulisikia hao panya road wanafanya huo uhalifu kwa kushirikiana na vyombo vya dola? Huu utekaji na mauji ya wapinzani vyombo vya dola ndio wahusika wakuu.
 
Ni wapi hao panya road ilisemekana wanatumwa na serekali? Ulisikia hao panya road wanafanya huo uhalifu kwa kushirikiana na vyombo vya dola? Huu utekaji na mauji ya wapinzani vyombo vya dola ndio wahusika wakuu.
kwa kauli ya bibi kutokutaka kuingiliwa, kunamaanisha ukweli kwa wanaojua kupima upepo uelekeapo
 
Habari zenu wanaJF wenzangu,

Hawa jamaa wawili ni kama vile wamepewa majukumu makubwa wasiyoyaweza. Watu wanatekwa, wanauwawa na wengine kupotezwa kimya kimya wao wanaangalia tu. Sasa sijui jukumu la waziri wa mambo ya ndani na IGP ni nini?

Sikatai kwamba inawezekana polisi au serikali haihusiki na yanayoendelea, sikatai kwamba inawezekana kuna kundi la majambazi na watu wasioitakia mema nchi yetu wanaweza kufanya haya ili zigo liiangukie polisi na serikali, lakn wao kama serikali kupitia vitengo vyao vya upelelezi wamefanya nini kuzuia haya yasiendelee kutokea?

Inashangaza katika nchi tunayosema ni ya amani askari anashindwa hata kuvaa sare kwenda kumkamata mtuhumiwa kweli!! Je sare za polisi zilishonwa kwa ajili ya kina nani?

Unakuta kundi la watu wanne au watatu likiwa limevaa nguo za kawaida, eti linaenda kumkamata mtu mwembe chai, likiulizwa nyinyi ni kina nani linasema sisi ni askari kutoka mwenge tumekuja kumkamata mtuhumiwa.

Sasa unajiuliza inakuaje askari atoke mwenge kuja kumkamata mtuhumiwa mwembechai, je magomeni askari wameisha, kwanini wasitumiwe askari wa magomeni kumkamata mtuhumiwa? Hiyo tisa, kumi je kwanini hawana sare za polisi, RB, barua ya mjumbe au mwenyekiti wa serikali ya mtaa nk.

Sasa kwa style hii ya ukamataji mnafikiri watu wabaya hawatokosa kujipenyeza ni kufanya haya kwa maadui zao wakijua kwamba jumba bovu litawaangukia polisi na mamlaka?

Kwanini hamrudishi utaratibu mzuri wa ukamataji wa kufuata sheria? Au mpaka mtumbuliwe ndo muanze kufikiria ambayo mngefanya. Maana tumeshaanza kusikia mpaka wanafunzi na viongozi wa dini wanapotea na wengine kukutwa wameuwawa.

Kuna uwezekano mkubwa wa Masauni na Wambura kukalia kuti kavu. Very soon time will tell us...
Tatizo kunaweza kuwepo na vitengo vingine vya usalama wenye kuchukua Maamuzi bila IGP kuwa na taarifa. Kinachoweza kutokea ni kujiuzulu kwa moja wao ili kuonyesha kupinga kuingilia kwa kazi zake au kukubali kuwa Bangusilo.
 
Tatizo kunaweza kuwepo na vitengo vingine vya usalama wenye kuchukua Maamuzi bila IGP kuwa na taarifa. Kinachoweza kutokea ni kujiuzulu kwa moja wao ili kuonyesha kupinga kuingilia kwa kazi zake au kukubali kuwa Bangusilo.
Bora itokee hivyo mkuu, kuliko kuendelea kutizama hali hii ikiendelea.
 
Inasikitisha sana.
 
Lakini bado tuna nafasi ya kutofika kule kama tutazuia mapema huu upuuzi kuendelea.
Jamii yetu ndiyo ufunguo, jamii imeficha ufunguo, jamii mafuvu yakirudishiwa akili itafanya maamuzi sahihi, (ikiendelea kukumbwa na majanga), hasira zikiwapanda ama kuwafura watachukua uwamuzi mgumu
 
Habari zenu wanaJF wenzangu,

Hawa jamaa wawili ni kama vile wamepewa majukumu makubwa wasiyoyaweza. Watu wanatekwa, wanauwawa na wengine kupotezwa kimya kimya wao wanaangalia tu. Sasa sijui jukumu la waziri wa mambo ya ndani na IGP ni nini?

Sikatai kwamba inawezekana polisi au serikali haihusiki na yanayoendelea, sikatai kwamba inawezekana kuna kundi la majambazi na watu wasioitakia mema nchi yetu wanaweza kufanya haya ili zigo liiangukie polisi na serikali, lakn wao kama serikali kupitia vitengo vyao vya upelelezi wamefanya nini kuzuia haya yasiendelee kutokea?

Inashangaza katika nchi tunayosema ni ya amani askari anashindwa hata kuvaa sare kwenda kumkamata mtuhumiwa kweli!! Je sare za polisi zilishonwa kwa ajili ya kina nani?

Unakuta kundi la watu wanne au watatu likiwa limevaa nguo za kawaida, eti linaenda kumkamata mtu mwembe chai, likiulizwa nyinyi ni kina nani linasema sisi ni askari kutoka mwenge tumekuja kumkamata mtuhumiwa.

Sasa unajiuliza inakuaje askari atoke mwenge kuja kumkamata mtuhumiwa mwembechai, je magomeni askari wameisha, kwanini wasitumiwe askari wa magomeni kumkamata mtuhumiwa? Hiyo tisa, kumi je kwanini hawana sare za polisi, RB, barua ya mjumbe au mwenyekiti wa serikali ya mtaa nk.

Sasa kwa style hii ya ukamataji mnafikiri watu wabaya hawatokosa kujipenyeza ni kufanya haya kwa maadui zao wakijua kwamba jumba bovu litawaangukia polisi na mamlaka?

Kwanini hamrudishi utaratibu mzuri wa ukamataji wa kufuata sheria? Au mpaka mtumbuliwe ndo muanze kufikiria ambayo mngefanya. Maana tumeshaanza kusikia mpaka wanafunzi na viongozi wa dini wanapotea na wengine kukutwa wameuwawa.

Kuna uwezekano mkubwa wa Masauni na Wambura kukalia kuti kavu. Very soon time will tell us...
Neither will happen, its time to be rigid
 
Habari zenu wanaJF wenzangu,

Hawa jamaa wawili ni kama vile wamepewa majukumu makubwa wasiyoyaweza. Watu wanatekwa, wanauwawa na wengine kupotezwa kimya kimya wao wanaangalia tu. Sasa sijui jukumu la waziri wa mambo ya ndani na IGP ni nini?

Sikatai kwamba inawezekana polisi au serikali haihusiki na yanayoendelea, sikatai kwamba inawezekana kuna kundi la majambazi na watu wasioitakia mema nchi yetu wanaweza kufanya haya ili zigo liiangukie polisi na serikali, lakn wao kama serikali kupitia vitengo vyao vya upelelezi wamefanya nini kuzuia haya yasiendelee kutokea?

Inashangaza katika nchi tunayosema ni ya amani askari anashindwa hata kuvaa sare kwenda kumkamata mtuhumiwa kweli!! Je sare za polisi zilishonwa kwa ajili ya kina nani?

Unakuta kundi la watu wanne au watatu likiwa limevaa nguo za kawaida, eti linaenda kumkamata mtu mwembe chai, likiulizwa nyinyi ni kina nani linasema sisi ni askari kutoka mwenge tumekuja kumkamata mtuhumiwa.

Sasa unajiuliza inakuaje askari atoke mwenge kuja kumkamata mtuhumiwa mwembechai, je magomeni askari wameisha, kwanini wasitumiwe askari wa magomeni kumkamata mtuhumiwa? Hiyo tisa, kumi je kwanini hawana sare za polisi, RB, barua ya mjumbe au mwenyekiti wa serikali ya mtaa nk.

Sasa kwa style hii ya ukamataji mnafikiri watu wabaya hawatokosa kujipenyeza ni kufanya haya kwa maadui zao wakijua kwamba jumba bovu litawaangukia polisi na mamlaka?

Kwanini hamrudishi utaratibu mzuri wa ukamataji wa kufuata sheria? Au mpaka mtumbuliwe ndo muanze kufikiria ambayo mngefanya. Maana tumeshaanza kusikia mpaka wanafunzi na viongozi wa dini wanapotea na wengine kukutwa wameuwawa.

Kuna uwezekano mkubwa wa Masauni na Wambura kukalia kuti kavu. Very soon time will tell us...
Kung'olewa kwani jino hilo, akili zenu machadema kama za kuku tu
 
Habari zenu wanaJF wenzangu,

Hawa jamaa wawili ni kama vile wamepewa majukumu makubwa wasiyoyaweza. Watu wanatekwa, wanauwawa na wengine kupotezwa kimya kimya wao wanaangalia tu. Sasa sijui jukumu la waziri wa mambo ya ndani na IGP ni nini?

Sikatai kwamba inawezekana polisi au serikali haihusiki na yanayoendelea, sikatai kwamba inawezekana kuna kundi la majambazi na watu wasioitakia mema nchi yetu wanaweza kufanya haya ili zigo liiangukie polisi na serikali, lakn wao kama serikali kupitia vitengo vyao vya upelelezi wamefanya nini kuzuia haya yasiendelee kutokea?

Inashangaza katika nchi tunayosema ni ya amani askari anashindwa hata kuvaa sare kwenda kumkamata mtuhumiwa kweli!! Je sare za polisi zilishonwa kwa ajili ya kina nani?

Unakuta kundi la watu wanne au watatu likiwa limevaa nguo za kawaida, eti linaenda kumkamata mtu mwembe chai, likiulizwa nyinyi ni kina nani linasema sisi ni askari kutoka mwenge tumekuja kumkamata mtuhumiwa.

Sasa unajiuliza inakuaje askari atoke mwenge kuja kumkamata mtuhumiwa mwembechai, je magomeni askari wameisha, kwanini wasitumiwe askari wa magomeni kumkamata mtuhumiwa? Hiyo tisa, kumi je kwanini hawana sare za polisi, RB, barua ya mjumbe au mwenyekiti wa serikali ya mtaa nk.

Sasa kwa style hii ya ukamataji mnafikiri watu wabaya hawatokosa kujipenyeza ni kufanya haya kwa maadui zao wakijua kwamba jumba bovu litawaangukia polisi na mamlaka?

Kwanini hamrudishi utaratibu mzuri wa ukamataji wa kufuata sheria? Au mpaka mtumbuliwe ndo muanze kufikiria ambayo mngefanya. Maana tumeshaanza kusikia mpaka wanafunzi na viongozi wa dini wanapotea na wengine kukutwa wameuwawa.

Kuna uwezekano mkubwa wa Masauni na Wambura kukalia kuti kavu. Very soon time will tell us...
Uwajibikaji huwa mgumu sana kwa hawa viongozi na wanasiasa wetu.
 
Back
Top Bottom