HAITOTOKEA: Msimu Pekee Ambao Yanga SC Ilikubali Kupoteza Ubingwa Ili Simba SC Asishuke Daraja

HAITOTOKEA: Msimu Pekee Ambao Yanga SC Ilikubali Kupoteza Ubingwa Ili Simba SC Asishuke Daraja

demigod

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2015
Posts
8,292
Reaction score
15,250
Vijana wengi mtakuwa hamna kumbukumbu ya huu msimu.

Yanga ilikubali kufungwa na Simba mechi ya mwisho ili simba isishuke daraja na kwa kufungwa huko Yanga ikakosa ubingwa.

N.B kwa new school aka "soccer Google" nawakumbusha "zamani" game moja ilikuwa na pointi 2 ukishinda!

Upendo huu haujawahi kutokea na haitokuja kutokea tena.

Mtu na Mai Wake [emoji172][emoji169]

IMG_0176.jpg
 
Baada ya mechi mashabiki wa Yanga walikasirika sana mpaka kipa Sahau Kambi akang'olewa jino..nilikuwa chalii lakini kumbukumbu hiyo ninayo manake pale nje ya uwanja yalikuwa yanarushwa mawe. Kipindi hicho kulikuwa na jamaa aliyetrend sana wa kuitwa Maumba.
 
Baada ya mechi mashabiki wa Yanga walikasirika sana mpaka kipa Sahau Kambi akang'olewa jino..nilikuwa chalii lakini kumbukumbu hiyo ninayo manake pale nje ya uwanja yalikuwa yanarushwa mawe. Kipindi hicho kulikuwa na jamaa aliyetrend sana wa kuitwa Maumba.
Kuna watu wamekula chumvi humu... hongera kwa kuona nusu karne mkuu.
 
Baada ya mechi mashabiki wa Yanga walikasirika sana mpaka kipa Sahau Kambi akang'olewa jino..nilikuwa chalii lakini kumbukumbu hiyo ninayo manake pale nje ya uwanja yalikuwa yanarushwa mawe. Kipindi hicho kulikuwa na jamaa aliyetrend sana wa kuitwa Maumba.
Hapana sahau Kambi Hakung'olewa jino, Ile Mechi Simba wali shinda 2-1 Kwa mchongo.
Ule mpira aliofungwa sahau Kambi ulikua wa juu Tena haukua na Nguvu na aliruka pekeyake hakukua na forward Aliye mzonga. Chakushangaza akaushika ukamponyoka, John Makelele aliku hajaruka mpira ukamwangukia mguuni akafunga.
Mchezaji wa Yanga aliyeng'oka jino Kwa miaka Ile alikua Fred Felex Minziro alipigwq kiwiko na Husen Masha wa Pamba.
Nakumbuka siku ya mechi Minziro alikua anacheza lakini alikua amefiwa na Baba yake ila alicheza hivyohivyo na yalimkuta ayo masahibu.Baada ya Mechi alikwenda Bukoba kuzika.
Simba ilinusurika kushuka daraja miaka mitatu mfululizo 1987, 1988, 1989.
 
Hapana sahau Kambi Hakung'olewa jino, Ile Mechi Simba wali shinda 2-1 Kwa mchongo.
Ule mpira aliofungwa sahau Kambi ulikua wa juu Tena haukua na Nguvu na aliruka pekeyake hakukua na forward Aliye mzonga. Chakushangaza akaushika ukamponyoka, John Makelele aliku hajaruka mpira ukamwangukia mguuni akafunga.
Mchezaji wa Yanga aliyeng'oka jino Kwa miaka Ile alikua Fred Felex Minziro alipigwq kiwiko na Husen Masha wa Pamba.
Nakumbuka siku ya mechi Minziro alikua anacheza lakini alikua amefiwa na Baba yake ila alicheza hivyohivyo na yalimkuta ayo masahibu.Baada ya Mechi alikwenda Bukoba kuzika.
Simba ilinusurika kushuka daraja miaka mitatu mfululizo 1987, 1988, 1989.
Umesema ukweli kuhusu minziro ila hukumalizia kuhusu mchango wa wanachama na kiasi kilichopatikana
 
Vijana wengi mtakuwa hamna kumbukumbu ya huu msimu.

Yanga ilikubali kufungwa na Simba mechi ya mwisho ili simba isishuke daraja na kwa kufungwa huko Yanga ikakosa ubingwa.

N.B kwa new school aka "soccer Google" nawakumbusha "zamani" game moja ilikuwa na pointi 2 ukishinda!

Upendo huu haujawahi kutokea na haitokuja kutokea tena.

Mtu na Mai Wake [emoji172][emoji169]
Nijuavyo ni kwamba Yanga ilifungwa, haikuiachia Simba
 
Vijana wengi mtakuwa hamna kumbukumbu ya huu msimu.

Yanga ilikubali kufungwa na Simba mechi ya mwisho ili simba isishuke daraja na kwa kufungwa huko Yanga ikakosa ubingwa.

N.B kwa new school aka "soccer Google" nawakumbusha "zamani" game moja ilikuwa na pointi 2 ukishinda!

Upendo huu haujawahi kutokea na haitokuja kutokea tena.

Mtu na Mai Wake [emoji172][emoji169]

View attachment 2230677
utopolo siku zote mkifungwa hamkosi sababu nilikuwepo uwanjani kwa mpira uliochezwa hakukuwa na upangaji matokeo hayo mengine ni kujifariji baada ya kufungwa
 
utopolo siku zote mkifungwa hamkosi sababu nilikuwepo uwanjani kwa mpira uliochezwa hakukuwa na upangaji matokeo hayo mengine ni kujifariji baada ya kufungwa
Hapo juu wenzako wameeleza vizur jinsi mpira ulivyochezwa na goli kufungwa, Wakati Mwingine hata Kama haikuoendezi kuhusu ukweli wa kitu fulani ,Basi jitahidi tu kuwa mkweli
 
Hapana sahau Kambi Hakung'olewa jino, Ile Mechi Simba wali shinda 2-1 Kwa mchongo.
Ule mpira aliofungwa sahau Kambi ulikua wa juu Tena haukua na Nguvu na aliruka pekeyake hakukua na forward Aliye mzonga. Chakushangaza akaushika ukamponyoka, John Makelele aliku hajaruka mpira ukamwangukia mguuni akafunga.
Mchezaji wa Yanga aliyeng'oka jino Kwa miaka Ile alikua Fred Felex Minziro alipigwq kiwiko na Husen Masha
Vijana wengi mtakuwa hamna kumbukumbu ya huu msimu.

Yanga ilikubali kufungwa na Simba mechi ya mwisho ili simba isishuke daraja na kwa kufungwa huko Yanga ikakosa ubingwa.

N.B kwa new school aka "soccer Google" nawakumbusha "zamani" game moja ilikuwa na pointi 2 ukishinda!

Upendo huu haujawahi kutokea na haitokuja kutokea tena.

Mtu na Mai Wake [emoji172][emoji169]

View attachment 2230677
Simba iligawanyika ikawa na timu 2, Nyota Nyekundu na Simba. Yanga ilifungwa tu kimchezo... Sahau Kambi wanamsingizia tu alijisahau kama ilivyokuwa kawaida yake.
 
Hapo juu wenzako wameeleza vizur jinsi mpira ulivyochezwa na goli kufungwa, Wakati Mwingine hata Kama haikuoendezi kuhusu ukweli wa kitu fulani ,Basi jitahidi tu kuwa mkweli
Huyu bado mdogo sana ndy maana anajibu kishabiki
 
Wazee wa historia kwenye vitengo vyenu
 
Back
Top Bottom