Mbon man city anamiliki MTU moja
SHERIA KATI YA NCHI MOJA NA NYINGINE HUTOFAUTINA KULINGANA NA TAMADUNI AU MAZINGIRA. MFANO JAMAICA BANGI NI HALALI ILA HAPA TZ BANGI NI KOSA LA JINAI.
Kwa kumbukumbu zangu zamani kidogo yaan miaka kama 18 nyuma kulikuwa na mshauri wa michezo aliitwa PAPE. Yy alikuwa Mjerumani kipindi hiko TFF ikijulikana kama FAT chini ya NDOLANGA. Hizo sheria ziliwekwa miaka hiyo ili kudhibiti ulanguzi wa kimichezo. Sheria hiyo ilikuwa mahsusi kwa timu za ligi kuu tu. Na pale mtu akitaka kumiliki lazima wawepo angalau watu wa 3. Kwa hiyo basi zinaruhusiwa kumilikiwa na mashirika au makampuni mbalimbali lkn sio mtu mmoja.
Hii ilikuja mara baada ya ALEX KAJIMULO kuimiliki KAJIMULO FC. Hivyo kupelekea maamuzi yasiyo ya kimichezo zaidi juu ya timu yake. Hata azam haimilikiwi na BAKHRESA kama yeye bali kampuni yake ya AZAM hali hiyo pia ni kwa ALLIANCE nayo inamilikiwa na kampuni sio mtu mmoja.
Kuweka mambo sawa ni kwamba MO anachofanya ni kwamba anaichukua timu kama yake binafsi na sio kama MO INTERPRISSES. Hii hairuhusiwi kwa kufikia hizo % anachotakiwa ni kugawana hizo share equally au semi equally na wanahisa binafsi wengine ambao hawako familia moja na yeye.
Yaan yy achukue 17% ANOTINO Achukue 17% MANENGELO 15%.
Nilichoona hapa ni kwamba sheria hii haikutumika ama kwa kutokujua au kwa makusudi ili kufanikisha jambo fulani kisiasa.
All in all MO ameikuta simba as super brand ambayo kupitia hiyo anaweza kutanua wigo wa biashara zake kupitia matangazo ya kwenye jezi kama ilivyokuwa kwa KILIMANJARO PREMIER LAGER. utofauti ni kwamba TBL wao walikuwa wanatoa vifaa vya michezo na pesa kama mdhamini ila Mo yy anafanya kama mmiliki yaan anaandikia as ameadd up CAPITAL. Fluctuation Capital ambapo kila mwaka huziingiza as gharama zake na hutolea wakati anatafuta faida kitu ambacho si sahihi.
Nimechambua kama mwanamichezo na sio kama SHABIKI.
UKITAKA ELEWA USIPOTAKA ENDELEZA USHABIKI MAANDAZI