Haiwezekani Wasabato kuhubiri neno la Mungu bila kutaja Kanisa Katoliki? Au ni mafunuo? au mbinu za kupata na kutunza wafuasi?

Haiwezekani Wasabato kuhubiri neno la Mungu bila kutaja Kanisa Katoliki? Au ni mafunuo? au mbinu za kupata na kutunza wafuasi?

Wadau hamjamboni nyote?

Naomba sana moderator uache huru Uzi huu Tafadhali

Kichwa cha habari chahusika?

Siyo mahubiri au Vitabu kote huko lazima ukute mifano yote hasi dhidi ya Kanisa Katoliki

Napenda kujua haiwezekani ikahubiriwa injili bila kufanya hivyo?

Ni chuki? Wivu? Propaganda? Mikakati? Au mbinu za waasisi kuwa na waumini wa uhakika ndani ya Kanisa husika.

Na je wakihubiri bila kutaja Kanisa la Mitume ni itakuwa athari Kwa Kanisa hilo hususani upande wa waamini

Je waumini wanaimani na Kanisa hilo kwakuwa wamepewa mawazo hasi dhidi ya Ukatoliki au ni kwakuwa wanaimani na mafundisho ya Kanisa hilo?

Niwatakie usiku mwema
Wasabato wana aina fulani ya maisha yao ya kiiamni yasiyoeleweka.

Wana ubishi mwingi

Wana ujuaji mwingi

Wanaamini wanamiliki Mbingu

Kwenye uzinzi sasa......😅
 
NDYO WALIKUWA WATU WA MUNGU NAO WALIKUWA WANASHKA SABATHO.Ndyo mana kwenye amri ya MUNGU IMEANDIKWA IKUMBUKE SABATHO KWA MAANA WANAKUMBUSHWA KITU AMBACHO KILIKUWEPO WAKAJA WAKAISAHAU UTUMWANI MISRI KWA ZAIDI YA MIAKA 400
Hivi unajua kipindi hicho cha huyo Mussa kulikua na miji mingine inawatu wengi tu wanaendelea na maisha yao, Mfano kina socrates walikua ugiriki huko....

Ndio mana anaitwa Mungu wa israeli sababu alibase kule na aliacha wengine duniani waendelee na maisha yao, Alitenga dunia nzima ili aukomboe ukoo wa kina daudi tu....


Sasa Wewe ni kabila ya watoto 12 wa Israeli? Hebu angalia alichosema yesu ;
Screenshot_20240916-073118.jpg
 
Mimi ninawasifu kwa kututengenezea madem wasi na gharama.
Dem wa kisabato ukimpata usimbadilishe wala usikubali abadilishe dhehebu kutoka huko alipo.
Huwa hawana makuu, bajeti zao ni kumnunulia kitana au chanuo, mafuta ya mgando kwa ajili ya kujipaka (Petroleum Jelly), no nyama, atataka ale uyoga, chakula kipikwe chukuchuku au kama ni viungo viwe na karanga, nyanya, vitunguu na pilipili.
Wanashindana urembo huko insta..
 
Wadau hamjamboni nyote?

Naomba sana moderator uache huru Uzi huu Tafadhali

Kichwa cha habari chahusika?

Siyo mahubiri au Vitabu kote huko lazima ukute mifano yote hasi dhidi ya Kanisa Katoliki

Napenda kujua haiwezekani ikahubiriwa injili bila kufanya hivyo?

Ni chuki? Wivu? Propaganda? Mikakati? Au mbinu za waasisi kuwa na waumini wa uhakika ndani ya Kanisa husika.

Na je wakihubiri bila kutaja Kanisa la Mitume ni itakuwa athari Kwa Kanisa hilo hususani upande wa waamini

Je waumini wanaimani na Kanisa hilo kwakuwa wamepewa mawazo hasi dhidi ya Ukatoliki au ni kwakuwa wanaimani na mafundisho ya Kanisa hilo?

Niwatakie usiku mwema
Kanisa limeanzishwa kwa misingi hiyo... Hivyo ibada zao hazikamiliki bila kuiponda RC... Lakini napenda kuwakumbusha kwamba,, watakao ingia katika ufalme wa Mungu ni wale walio kili ya kwamba Yesu ni Bwana na kuishi katika Kristo kwa kufuata na kutenda Mafundisho yake... Hivyo Usabato, U RC, Uanglicana, UKKKT, Upentekoste ama dhehebu lolote lile,,,, halimpeleki mtu mbinguni isipokuwa Kumkiri Yesu Kristo kama nilivyo eleza hapo juu...
 
Wadau hamjamboni nyote?

Naomba sana moderator uache huru Uzi huu Tafadhali

Kichwa cha habari chahusika?

Siyo mahubiri au Vitabu kote huko lazima ukute mifano yote hasi dhidi ya Kanisa Katoliki

Napenda kujua haiwezekani ikahubiriwa injili bila kufanya hivyo?

Ni chuki? Wivu? Propaganda? Mikakati? Au mbinu za waasisi kuwa na waumini wa uhakika ndani ya Kanisa husika.

Na je wakihubiri bila kutaja Kanisa la Mitume ni itakuwa athari Kwa Kanisa hilo hususani upande wa waamini

Je waumini wanaimani na Kanisa hilo kwakuwa wamepewa mawazo hasi dhidi ya Ukatoliki au ni kwakuwa wanaimani na mafundisho ya Kanisa hilo?

Niwatakie usiku mwema
The reason the majority of these so-called churches continue to exist is mainly due to their ability to make fun of Catholics; aside from that, they hardly have any real teachings for their adherents. Sad
 
Tafuta WOKOVU usitafute sabato.

Mungu hafungwi na siku.

Kol 2:16-17​

Basi, mtu asiwahukumu ninyi katika vyakula au vinywaji, au kwa sababu ya sikukuu au mwandamo wa mwezi, au sabato; mambo hayo ni kivuli cha mambo yajayo; bali mwili ni wa Kristo.
Dah kumbe mtu na c MUNGU.elewa fungu hilo vzur.Kulikuwa na sheria 2 zinazokinzana SHERIA YA MUNGU NA YA MAAGIZO AMBAYO MUNGU ALIMWAMBIA MUSA AWAANDIKIE AWEKE PEMBENI MWA SANDAKU LA AGANO.Yesu alipokuja aliondoa sheria ya musa ikabaki ya MUNGU ambamo ndan yake imo sabatho.
 
Tafuta WOKOVU usitafute sabato.

Mungu hafungwi na siku.

Kol 2:16-17​

Basi, mtu asiwahukumu ninyi katika vyakula au vinywaji, au kwa sababu ya sikukuu au mwandamo wa mwezi, au sabato; mambo hayo ni kivuli cha mambo yajayo; bali mwili ni wa Kristo.
Dah kumbe mtu na c MUNGU.elewa fungu hilo vzur.Kulikuwa na sheria 2 zinazokinzana SHERIA YA MUNGU NA YA MAAGIZO AMBAYO MUNGU ALIMWAMBIA MUSA AWAANDIKIE AWEKE PEMBENI MWA SANDAKU LA AGANO.Yesu alipokuja aliondoa sheria ya musa ikabaki ya MUNGU ambamo ndan yake imo sabatho.
 
mbona hawaolewi sasa au mtaa ninao ishi hamna watoaji?
Shida yao ni ile tabia ya kukuona wewe ni mkosaji na mpotevu kwa dhehebu lako mbaya ni pale anapokuwa haishi kukukosoa, hata ukirudi kazini umeloa kwa kunyeshewa na mvua lazima aihusishe dini yako na kunyesgewa na mvua. Hata mshahara ukichelewa kuingia au bank wakizingua lazima aihusishe dhegebu lako, wakati huohuo wao wana yao huko kwenye makambi.
 
Kanisa limeanzishwa kwa misingi hiyo... Hivyo ibada zao hazikamiliki bila kuiponda RC... Lakini napenda kuwakumbusha kwamba,, watakao ingia katika ufalme wa Mungu ni wale walio kili ya kwamba Yesu ni Bwana na kuishi katika Kristo kwa kufuata na kutenda Mafundisho yake... Hivyo Usabato, U RC, Uanglicana, UKKKT, Upentekoste ama dhehebu lolote lile,,,, halimpeleki mtu mbinguni isipokuwa Kumkiri Yesu Kristo kama nilivyo eleza hapo juu...
Umepiga kwenye mshono, heri wenye moyo safi maana hao watamuona Mungu
 
Shida yao ni ile tabia ya kukuona wewe ni mkosaji na mpotevu kwa dhehebu lako mbaya ni pale anapokuwa haishi kukukosoa, hata ukirudi kazini umeloa kwa kunyeshewa na mvua lazima aihusishe dini yako na kunyesgewa na mvua. Hata mshahara ukichelewa kuingia au bank wakizingua lazima aihusishe dhegebu lako, wakati huohuo wao wana yao huko kwenye makambi.
😂😂😂😂😂
 
Wasabato wazuri tu kwenye mafundisho ya kimaisha... Mi huwa wananikera pale tu wanapojiona wao ni spesho sana kuliko watu wote duniani. Wanajiona wao ndo wateule wa Mungu kuliko hata wana wa Israeli na madhehebu mengine wanawachukulia km wamepotoka. Kwa kifupi wanajihesabia haki
 
Wadau hamjamboni nyote?

Naomba sana moderator uache huru Uzi huu Tafadhali

Kichwa cha habari chahusika?

Siyo mahubiri au Vitabu kote huko lazima ukute mifano yote hasi dhidi ya Kanisa Katoliki

Napenda kujua haiwezekani ikahubiriwa injili bila kufanya hivyo?

Ni chuki? Wivu? Propaganda? Mikakati? Au mbinu za waasisi kuwa na waumini wa uhakika ndani ya Kanisa husika.

Na je wakihubiri bila kutaja Kanisa la Mitume ni itakuwa athari Kwa Kanisa hilo hususani upande wa waamini

Je waumini wanaimani na Kanisa hilo kwakuwa wamepewa mawazo hasi dhidi ya Ukatoliki au ni kwakuwa wanaimani na mafundisho ya Kanisa hilo?

Niwatakie usiku mwema
Alaf kwa majunguu yote bdo kanisa katoli inabaki pale pale na kusfka kwa kusimamia iman yake bila kuyumbishwa ss wa Luther tunawasifia kwailo ongeren
 
Nimewasikiliza, unalosema si kweli. Wana mafundisho mengi sana bila kutaja ukatoliki. Kama, hukumu, zaka na sadaka, Uungu wa Yesu, Ubatizo, kifo, Roho mtakatifu nk. Ila walipofundisha Sabato walitaka aliyebadili na kuiweka Jumapili, siku ya ibada ya upagani. Usipowaelewa utaona wanakashifu ila wanasimamia ukweli wa maandiko.
Mkuu wewe ndie umefanikiwa kuweka uhalisia wa mafundisho ya wasabato pasi na upotoshaji..alichokifanya mleta mada ni kuwasilisha hisia za chuki dhidi ya wasabato na usabato.
 
Kanisa la Sabato, ni kanisan la Mungu, na Mungu mwenyewe ni msabato ndio maana anajiita Bwana wa Sabato.

Mungu hapatani na shetani, shetani pekee ndio anafurahia ushoga , ubakaji, Ndoa za jinsia moja, kuabudu sanamu, kusali jumapili Et kisa siku ni siku tu, kujiita Mungu wa Duniani , mtoto wa Mungu, ubatizo usokua sawa na ule wa Yesu , kutofuata biblia inasemaje...

Sasa Roman wenyewe hayo yote ya juu wanayafurahia.

Na kwakua Romani ndio Babeli Mkuu , Mama wa kahaba.

Sisi wasabato tutaendelea kuwapa Kichapo Kwa msaada wa Roho mtakatifu.

Sabato ndio Kanisa pekee lisoyumbishwa enzi na enzi...hata Romani analifaham hili.
Mungu hana dini na hajifungamishi na upande wowote ule.Halafu nani aliwaambia siku ya Jumamosi Mungu alipumzika...? Imeandikwa wapi maana hata kalenda yenyewe nayo imetengenezwa na hawa hawa wakatoliki.
 
Back
Top Bottom