Haji binafs tangu akiwa yanga kama msemaji ninamheshim bado lakini katika uwanja wa kitaalam na kitaaluma........

Haji binafs tangu akiwa yanga kama msemaji ninamheshim bado lakini katika uwanja wa kitaalam na kitaaluma........

Mbona anatamba kuwa ana division one ya point sevon form four?
Uongo huo,jiulize kwanini uwa hataji mwaka alioanza sekondari!!
Haji hajawahi kumaliza kidato cha nne hata chuo anachosema alisoma cha uandishi wa habari uko South Africa uwa ni magumashi tu.
Jerry Muro alikuwa anamsema vizuri kuwa elimu yake ni ya madrassa tu.
 
Manara juzi katika interview kasema wazi kua kapanga na Wala haoni aibu kuweka wazi kua anaishi nyumba ya kupanga.....

Hapa kwenye video anadai anaweza kuwaajiri wapishi 20 wote wakae kwake awape majukumu, kama ni WA Chai awe wa chai tu, wa ubwabwa awe we ubwabwa tu....

Sasa najiuliza hao ma chef 20 atawalaza wapi? Wasanii wetu bwana
View attachment 2895128
Labda nao atawapangia
 
Kwa manara anavyopenda sifa angekuwa kweli ana division one ingekuwa kashapost tayari.
 
Back
Top Bottom