Manara juzi katika interview kasema wazi kua kapanga na Wala haoni aibu kuweka wazi kua anaishi nyumba ya kupanga.....
Hapa kwenye video anadai anaweza kuwaajiri wapishi 20 wote wakae kwake awape majukumu, kama ni WA Chai awe wa chai tu, wa ubwabwa awe we ubwabwa tu....
Sasa najiuliza hao ma chef 20 atawalaza wapi? Wasanii wetu bwana
View attachment 2895128