Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mijitu ya Simba sc gata fikra ni zeroUnatuharibia image,hako kamchezo ulikuwa nako ukiwa Simba sasa umekakwta jangwani,Sisi tuna timu imara hatuitaji kupuliza dawa kwenye mabasi na dressing room za wapinzani.
Unatuharibia sana
Weka na ushahidi hizi tuhuma ni nzito sanaUnatuharibia image,hako kamchezo ulikuwa nako ukiwa Simba sasa umekakwta jangwani,Sisi tuna timu imara hatuitaji kupuliza dawa kwenye mabasi na dressing room za wapinzani.
Unatuharibia sana
Hata Rivers kule kwao aliweka dawa, kule kwa klabu africane aliweka dawa yanga ikashinda na kule tp Mazembe aliwawekea dawa tp wakapigwaUnatuharibia image,hako kamchezo ulikuwa nako ukiwa Simba sasa umekakwta jangwani,Sisi tuna timu imara hatuitaji kupuliza dawa kwenye mabasi na dressing room za wapinzani.
Unatuharibia sana
Uwe na heshima kwa mazuzu.Mazuzu mmejaa nchini.
Ila wanatabia ya kuwasha Moto uwanjaniSimba hawana hizo tabia ndio maana CAF hawajawahi kutukuta na hatia, huyo Manara na ujinga wenu usiuhusishe na Simba.
Kwani umekasirika?Hata Rivers kule kwao aliweka dawa, kule kwa klabu africane aliweka dawa yanga ikashinda na kule tp Mazembe aliwawekea dawa tp wakapigwa
Acha ujinga/ usituletee ujinga kwenye mpira
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Choko acha uchokozi wako weweUnatuharibia image,hako kamchezo ulikuwa nako ukiwa Simba sasa umekakwta jangwani,Sisi tuna timu imara hatuitaji kupuliza dawa kwenye mabasi na dressing room za wapinzani.
Unatuharibia sana