Sibonike
JF-Expert Member
- Dec 23, 2010
- 17,296
- 18,027
Haji
Haji Manara kilichobaki aimbe taarabu tuIkumbukwe 25/02/2017 katika dimba la Taifa, mnyama mkali mwituni, Simba atakua akipambana na Ndala katika mechi ya mzunguko wa pili wa VPL. Mda mfupi uliopita, msemaji wa Simba SC, Haji Manara kaandika haya katika ukurasa wake wa Instagram juu ya mechi hiyo;
![]()
![]()
![]()
Mwisho wa kumnukuu. Asanteni.