Hivi uwezekano wa kukata rufaa si upo ?Msemaji wa Yanga, Haji Manara amefungiwa kujihusisha na mpira ndani na nje ya nchi kwa muda wa miaka 2 na kupigwa faini ya Tsh milioni 20
Manara amekumbwa na adhabu hiyo kutokana na sakata lake na Mwenyekiti wa TFF
View attachment 2298517
====
Kamati ya Maadili ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limemfungia Msemaji Klabu ya Yanga, Haji Manara kujihusisha na mpira ndani na nje ya nchi kwa muda wa miaka 2 na kupigwa faini ya Tsh. milioni 20
Amekutwa na hati kwa makosa ya kumvunjia heshima Rais wa TFF, Wallace Karia kwenye fainali ya ASFC kati ya Yanga na Coastal Jijini Arusha
View attachment 2298509
Ndugu ingekuwa milioni 5, Ni wazi miaka angechezea mingi zaidi sio chini ya 5.Ila faini ya milioni 20 aisee sio mchezo...wajumbe hapa kwakweli wamekurupuka.
Miaka 2 mingi kwa mtu mweledi ila kwa Manara kwa sababu ya ushenzi wake anastahili zaidi ya hiyo.
Ila wasomali noma [emoji16][emoji16] HAJAJIFUNZA KWA AL SHABABY
Najua fitna za hapo 🦁lunyasiHamna povu lolote..ni vile hapo utopolon hamjui sheria za FIFA...sasa unaona ulichouliza hapo juu ni kitu anachouliza mtu anaejua mpira kwel?au tangazo hujalisoma umekimbilia tu ku comment?
Daah aiseee ilaa binadamu kwa fitnaa ni balaaa... sema atapunguziwa tu adhabuPiga zeru zeru hiyo [emoji3][emoji3]
Ilitakiww kuchunga mdomo angeyajua hayoHii kamati mbona huwa inakuja na adhabu ambazo hazina lengo la kumfunza mtu bali kumkomoa. Kazi anayofanya ni kazi ya mkataba, unapomfungia means atatafutwa mbadala wake na atalipwa kiasi ambacho angelipwa anayetoka. Bado tena alipe milioni 20 kutoka wapi wakati mmemzuia asifanye kazi inayomuingizia kipato ? Huyu mtu pia ana watu wanaomtegemea, anaendeshaje maisha bila kazi ?
Itakuwaje vipi? Tunakwenda mahakamani na Karia aangalie Sana, tutaibua mengi.Sasa itakuwaje?
Ni jambo zuri tu kwake. Haji Manara kwa upande wangu namchukulia kama mchumia tumbo tu. Na kwa shabiki yeyote yule wa Yanga hawezi kumsahau kwa zile kejeli zake wakati yuko upande wa pili.Ina maana ule msamaha ulikataliwa ?...Yanga ni vyema wamkatie rufaa muhamasishaji wao.
Matola Tate Mkuu ukikaidi utapigwa2
Shadeeya
Sawa utanifahamisha ya mahakamaniItakuwaje vipi? Tunakwenda mahakamani na Karia aangalie Sana, tutaibua mengi.
Wahenga wanasema
UKIJUA MAJANI YA MTI WENZIO WANAJUA MIZIZI
Ahsante. Nimegundua nahitaji kumzingatia huyu jamaa.Rudi nyumbani kapumzike, rudi nyumbani kapumzike nimeshindwa na maudhi
Rudi nyumbani kapumzike ukisha badirika utarudi
Msikilize dizasta hapo chini, verse ya kwanza tu
View attachment 2298525
Kwani alipojuwa huko simba alikuwa ana unafuu gani kwa Yanga! Huyo jamaa amejaliwa kipaji cha kuongea maneno ya karaha!Afadhali. Roho mbaya juu ya Simba alikua amezindi Sasa atajifunza.
Wana Simba bila shaka siku ile walimtuma kwenda kumsemea mbovu Karia.Fitina za Wana🦁
R.I.P Haji.Wana🦁wenye wivu Kwa mnara boy wote tutawajueni kwenye hili🤔
Kimsingi Tff Nao Wanajiseti Vibaya SanaNaskia kila upande unaruhusiwa kukata rufaa
Haji manara anaruhusiwa kukata rufaa kama hajaridhishwa na maamuzi ya kamati
Lakini pia TFF nao wanaruhusiwa kukata rufaa ikiwa hawajaridhishwa na adhabu ya miaka miwili endapo kama wataona uzito wa kosa ulihitaji adhabu ya miaka 10 au maisha plus faini ya zaidi ya 20M ambayo imeamuliwa leo
Huyu Wallace Karia naye anajifanya kama mungu mtu pale TFF. Kila anayemkosoa basi lazima amshughulikie ipasavyo.kwanza ktk hali ya kawaida, TFF imetoa wapi power ya kumwadhibu mtu ktk soka la nje ya nchi? Ukiangalia haya makosa ya maamuzu unagundua kuwa maamuzi yamefanyika kwa hasira na hisia badala ya weledi. Rais wa TFFF ametumia madaraka yake vibaya kumwadhibu mtu aliyemchokoza mwenyewe
Huo "msukule" nasikia ndio unatembea na ubingwa. Popote utakapoenda Basi ubingwa lazima uende"Mmoja wa Wana🦁 waliomhujumi Mnara boy🏃
Ndio wivu wa ubingwa wa kihistoria na mafanikio baada ya kuwa bwaga Wana Lunyasi🦁.🤸