Haji Manara alisoma vyuo gani huko Afrika Kusini na China?

Haji Manara alisoma vyuo gani huko Afrika Kusini na China?

CHIZI VITABU

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2021
Posts
1,061
Reaction score
2,477
Kila siku anafanyiwa interviews na press conferences anafanya lakini sijawahi kusikia akiulizwa hili swali kabisa, Jamaa huwa anajinasibu kwamba yeye ni msomi aliyebobea.

Binafsi nilimsikia kipindi cha amplifier akihojiwa na Millard Ayo akijinasibu kwamba anayo DEGREE YA MASS COMMUNICATION toka university huko south africa na ADVANCED DIPLOMA YA SIASA NA PROPAGANDA toka china.

Cha kusikitisha hakuna follow up question iliyofata kabisa ambayo ni: NI MWAKA GANI ULISOMA HIZO COURSE? NI VYUO GANI HIVYO?MAJINA YAKE?????
 
Yaani hili swali likulizwa chawa wake wanakuwa wakali kweli, it's the best kept secret kwa kweli kuna chawa wake mwingine anaitwa Matola juzi alidai kwamba jamaa ni genius form four alipata division 1 ya points 7 na ni msomi mkubwa kasoma china na south africa ,nikauliza jina la shule alioptaia divison 1 ya point 7 na mwaka aliosoma na majina ya vyo vya huko nje nikaishiwa kuambiwa namuonea wivu jamaaa sina hela kama zake....
 
Anaongeaga kama kuli wa malori au konda,haowezekani amesoma yule ,ni vizuri tufahamu chuo gani imazalisha wasomi wa vile
Ndugu yangu hili swali ukiuliza hapa chawa wake wanakuwa wakali na cha kushangaza hayo mahojiano kila siku redioni na Tv hakuna hata mtangazaji mmoja aliyewahi kuuliza majina ya vyuo na mwaka sijui huwa wanaongea OFF MIC kwamba wakaushe wasiulize na waandishi TAKATAKA walivyo na njaa sasa wakishikishwa bahasha za khaki kimyaaa
 
Alisoma AMAZON COLLEGE campus ya UK kama umetokea posta panda gari za gongo la mboto zile ndefu eicher ukisikia konda anaita ukonga banana gongo la mboto, panda hiyo mwambie ashushe Ukonga.
 
Alisoma AMAZON COLLEGE campus ya UK kama umetokea posta panda gari za gongo la mboto zile ndefu eicher ukisikia konda anaita ukonga banana gongo la mboto, panda hiyo mwambie ashushe Ukonga.
sidhani hata chuo cha Buza kama kasoma labda kufundisha madrasa ndiyo elimu yake maana hilo ndilo eneo analoringia
 
manara mpiga dufu kasomea wapi !
Nilimsikia akihojiwa na Millard ayo last month alisema anayo degree ya mass communication toka university ya south africa na advance diploma ya politics kasomea university huko china na kuna chawa wake hapa naitwa matola juzi alidai jamaa akiwa form four alipata division 1 ya points 7 sasa jichanganye uombe majina ya hivyo vyuo na mwaka aliosoma na jina la hiyo shule aliopiga division 1 utasikia KWANI UKIJUA MAJINA YA VYUO NDIYO ITALETA KULA YA FAMILIA YAKO? WEWE MANARA HUMUWEZI ANA HELA NYINGI...ACHA MAMBO YA KIKE KUFATILIA YASIYOKUHUSU yaani hapo kosa ni kuwasaidia waandishi takataka wanaoshindwa hata kumuuliza majina ya vyuo wakati akiwa anajimwambafai kwenye interviews
 
Huyu alibino Jerry Muro ndo kiboko yake
Shangaa kabla Mo hajaingia jamaa alikuwa msemaji wa simba alikuwa kama kuku mwenye ugonjwa baada ya hela za Mo kuanza kuleta mafanikio simba na yeye akaonekana leo anajisifu yeye ndiye alikuwa kila kitu alipelekeshwa na Muro hadi aibu
Mwaka juzi ile alipigwa dongo dogo tu kuambiwa arudi kufundisha madrasa akaanza kumobilise waislamu eti wametukanwa na Muro mara akamtishia kwenda kumshataki kwa Magufuli yeye kutukana watu anaona raha akiguswa kidogo tu utasikia wametuma watu wanawalipa wanitukane wanichafue jamaa ni Bipolar.
 
Shangaa kabla Mo hajaingia jamaa alikuwa msemaji wa simba alikuwa kama kuku mwenye ugonjwa baada ya hela za Mo kuanza kuleta mafanikio simba na yeye akaonekana leo anajisifu yeye ndiye alikuwa kila kitu alipelekeshwa na Muro hadi aibu
Mwaka juzi ile alipigwa dongo dogo tu kuambiwa arudi kufundisha madrasa akaanza kumobilise waislamu eti wametukanwa na Muro mara akamtishia kwenda kumshataki kwa Magufuli yeye kutukana watu anaona raha akiguswa kidogo tu utasikia wametuma watu wanawalipa wanitukane wanichafue jamaa ni Bipolar.
Halafu ugomvi wake na watu anataka kuufanya wa taasisi anayofanyia kazi
 
Halafu ugomvi wake na watu anataka kuufanya wa taasisi anayofanyia kazi
Kidogokidogo jamii ishaanza kumuona ni mtu wa aina gani alitarajia ujinga alioongea jana watu wangelipuka kageuka kituko tu hata huko instagram bado muda kidoogo tutaanza kuwa na wasemaji wenye weledi pumba na mchele zitajitenga tu
 
Halafu ugomvi wake na watu anataka kuufanya wa taasisi anayofanyia kazi
Siku simba alivyopigwa goli 5-0 na As vita kule kinshasa walivyorudi hotelini akawa anataka kupigana na Shaffih dauda, Hans pope akaingilia kati akauliza shida nini?? lopolopo likasema jamaa anaitukana sana simba anaiita Under dog

Hans akamuambia wewe ni mjinga sana hivi kuna mtu anayetukana watu hovyo na mwenye mdomo mchafu kama wewe? embu toka hapa
Ikawa mwisho wa ugomvi, ukisikia kauli ya mkuki kwa nguruwe mtamu kwa binadamu mchungu una apply kwenye maisha ya yule jamaa 24/7 365 days a year.Anauishi huo msemo.
 
Mimi huwa ananishangaza tu,anaweza akaanzisha ugomvi,akijibiwa atataka ionekane taasisi anayoitumikia ndio imetukanwa.mfano kuna kipindi flan Jerry Muro alimuambia arudi akafundishe madrasa coz hana elimu dunia,akataka kumchonganisha Muro na waislamu kuwa eti dini yao imetukanwa.
Yule jamaa sina uhakika kama hata form 4 alifanikiwa kufika Coz kichwani ni empty.
 
Nilimsikia akihojiwa na Millard ayo last month alisema anayo degree ya mass communication toka university ya south africa na advance diploma ya politics kasomea university huko china na kuna chawa wake hapa naitwa matola juzi alidai jamaa akiwa form four alipata division 1 ya points 7 sasa jichanganye uombe majina ya hivyo vyuo na mwaka aliosoma na jina la hiyo shule aliopiga division 1 utasikia KWANI UKIJUA MAJINA YA VYUO NDIYO ITALETA KULA YA FAMILIA YAKO? WEWE MANARA HUMUWEZI ANA HELA NYINGI...ACHA MAMBO YA KIKE KUFATILIA YASIYOKUHUSU yaani hapo kosa ni kuwasaidia waandishi takataka wanaoshindwa hata kumuuliza majina ya vyuo wakati akiwa anajimwambafai kwenye interviews
Alikuwa amelewa
 
Kila siku anafanyiwa interviews na press conferences anafanya lakini sijawahi kusikia akiulizwa hili swali kabisa, Jamaa huwa anajinasibu kwamba yeye ni msomi aliyebobea

Binafsi nilimsikia kipindi cha amplifier akihojiwa na Millard Ayo akijinasibu kwamba anayo DEGREE YA MASS COMMUNICATION toka university huko south africa na ADVANCED DIPLOMA YA SIASA NA PROPAGANDA toka china

Cha kusikitisha hakuna follow up question iliyofata kabisa ambayo ni: NI MWAKA GANI ULISOMA HIZO COURSE? NI VYUO GANI HIVYO?MAJINA YAKE?????

Kilimanjaro Marathon tuelezeni namna Gani Manara Amepanda pikipiki na akapata medali​


4671FF91-831E-45E9-B27E-1F3222687FAC.jpeg
 
Back
Top Bottom