[*]Haji huyuhuyu anaelalamikia uongozi wa Simba, alikuwa analipwa 700k bila vyeti
[*]Manara huyuhuyu ambaye kabla ya Simba hakuwa maarufu shida zake kubwa zilitatuliwa na MO kifedha kama kijana wake
[*]Manara huyuhuyu aliwahi kumtusi maneno mazito na kumdharau CEO wa Simba kwasababu za uanamke wake
[*]Manara huyuhuyu aliyekuwa hajulikani na dunia alikuwa akidhaminiwa na club hata katika mambo yake binafsi.
[*]Manara huyuhuyu aliyebebwa na brand ya Simba, alipewa mkataba wa 3mil, usafiri na house allowance kibao akagoma kwa kutaka awe huru kufanya kazi za inje pia.
[*]Manara huyuhuyu anaelalamikia Simba alitumika kama dalali kuihujumu timu kwenye baadhi ya mechi za derby na ile ya Keizer chief south kwa kupenyeza mrungula kwa baadhi ya wachezaji wacheze chini ya kiwango
[*]Manara huyu ndiye aliyetengeneza mkataba wa kubumba (300mil) ili kumshinikiza Mo avunje mkataba kwa bei kubwa zaidi (janja janja).. Ndiyo maana hakutaka kumpa Mo aushike zaidi ya kumuonesha kama kitambulisho na kurudisha mfukoni
[*]Kiufupi Manara hana shukrani alifika mahali masikio yake yakazidi kichwa kilichoyabeba!
[*]Manara alijiona ni sehemu ya muwekezaji simba hivyo alitaka kugawana faida jambo ambalo halipo kwa wawekezaji duniani kote!
INASHANGAZA SANA MANARA KUUSHUTUMU UONGOZI ULIOMBEBA PAMOJA NA MAKANDO HAYO.
Hivyo Manara popote alipo asisomeke wala kufanya press kwa brand ya Simba!
Manara alivalishwa brand ya Simba, Manara kavuliwa brand ya Simba, Jina la Simba liendelee!
Update!
Leo August 24 /2021 Manara na familia yake kahamia rasmi Yanga!
Hii inadhilisha namna simba
ilivyokuwa imekumbatia mchawi ndani ya club!
[*]Manara huyuhuyu ambaye kabla ya Simba hakuwa maarufu shida zake kubwa zilitatuliwa na MO kifedha kama kijana wake
[*]Manara huyuhuyu aliwahi kumtusi maneno mazito na kumdharau CEO wa Simba kwasababu za uanamke wake
[*]Manara huyuhuyu aliyekuwa hajulikani na dunia alikuwa akidhaminiwa na club hata katika mambo yake binafsi.
[*]Manara huyuhuyu aliyebebwa na brand ya Simba, alipewa mkataba wa 3mil, usafiri na house allowance kibao akagoma kwa kutaka awe huru kufanya kazi za inje pia.
[*]Manara huyuhuyu anaelalamikia Simba alitumika kama dalali kuihujumu timu kwenye baadhi ya mechi za derby na ile ya Keizer chief south kwa kupenyeza mrungula kwa baadhi ya wachezaji wacheze chini ya kiwango
[*]Manara huyu ndiye aliyetengeneza mkataba wa kubumba (300mil) ili kumshinikiza Mo avunje mkataba kwa bei kubwa zaidi (janja janja).. Ndiyo maana hakutaka kumpa Mo aushike zaidi ya kumuonesha kama kitambulisho na kurudisha mfukoni
[*]Kiufupi Manara hana shukrani alifika mahali masikio yake yakazidi kichwa kilichoyabeba!
[*]Manara alijiona ni sehemu ya muwekezaji simba hivyo alitaka kugawana faida jambo ambalo halipo kwa wawekezaji duniani kote!
INASHANGAZA SANA MANARA KUUSHUTUMU UONGOZI ULIOMBEBA PAMOJA NA MAKANDO HAYO.
Hivyo Manara popote alipo asisomeke wala kufanya press kwa brand ya Simba!
Manara alivalishwa brand ya Simba, Manara kavuliwa brand ya Simba, Jina la Simba liendelee!
Update!
Leo August 24 /2021 Manara na familia yake kahamia rasmi Yanga!
Hii inadhilisha namna simba
ilivyokuwa imekumbatia mchawi ndani ya club!