Haji Manara alistahili kufukuzwa Simba kitambo

Haji Manara alistahili kufukuzwa Simba kitambo

Manara kaifanya Simba iwe club ya kitofauti nchini
Kivipi, kumbuka Manara hana ubavu wa kushawishi wachezaji wasicheze kwenye kiwango kwa sababu hawalipi pesa wachezaji na HAKUNA mchezaji yeyote wa Simba aliyemtilia maanani Manara bcs walimuona ni kama msanii tu. Simba walifanya kosa sana kumuacha Manara muda wote huu, jamas alikuwa hana lolote hapa mjini na pengine hata wewe mwenyewe Bujibuji ulikuwa humjuwi Manara kabla ya Simba, eti leo kaifanya Simba kuwa Club tofauti, how?
 
Ivi mmewahi kufanya kazi na wahindi?; ni unprofessional sana.......Manara inawezekana yuko sahihi sema amechelewa kusema hayo
Manara hayuko sahihi, kale kajamaa kana matatizo ya kiakili sana na anapenda sana sifa. Alijifanya yeye ni zaidi ya Club wakati he's a nobody. Tunamjuwa Manara hata kabla hajawa anafahamika hapa nchini, ni mjanja mjana na tapeli mkubwa sana. In short ni ndumilakuwili, usikute hata Yanga alikuwa analipwa hela ili awatibulie Simba, he's useless.
 
Unapoachishwa kazi , unatakiwa kuondoka kimyakimya ili kujenga welddi na kazi ziweze kukutafuta wewe, unapoondoka kwa kufanya press conference ili kusema viongozi wa S.C vibayaya unajiharibia Sana.

Unadhani Mo na Bakharesa hawapo karibu? Kumbuka bakharesa kabla ya kumiliki timu ndo walikuwa friends of Simba, hao ni wafanyabiashara wakubwa huwezi kuwavuruga.

Umekosa credibility ya kuongoza pahala popote. Unapoachiwa kazi ukikaa kimya utaonekana una busara kubwa, nilikuwa siamini walipokuwa wanasema wewe ni yanga kindakindaki moyoni mwako.

Mungu mkubwa Hilo limejionyesha mapema baada ya kitumbua chako kumwagiwa mchanga umeamua kuonyesha ulivyo.
Manara alikuwa anatumika kuhujumu Simba S.c lakini amekwama.

Mechi ya mzunguko wa Kwanza VPL msimo uliopita alituhujumu mechi ya Simba vs yanga, tulipofungwa 1-0, lile goli tulihujumiwa kwani shuti lililopigwa mauya lililenga kifua Cha kapombe na akatumbukiza nyavuni.Hivyo pia kapombe aangaliwe Sana,
 
Hakika bado tunaishi kwenye kiza kinene sana. Hivi nani katuroga sisi watanzania kwa hii mitazamo yetu, Yaani bado tunaamini manara kutokuwepo Simba ndo mwisho au kuondoka kwa ushawishi na mvuto wa simba.

Hapana kwa kweli kuna watu wana professionals zao kibao huku mtaani wataiongoza simba. Hii mentality imetugharimu sana huko nyuma kama Taifa na bado watu wanaishupalia.

Manara ni binadamu kama sisi na kilichotokea kwake ni ajali kama ajali tunazopata sisi makazini. Hivyo kuna maisha nje ya simba akapambane na ridhiki yake itakuja tu so acheni kumpa kichwa.

Pia ninavyo muona manara anao sana mfumo DUME, yaani yeye jinsia ya kike hataki imhoji au kuwa juu yake kabisa (Rejea lile sakata ya yule dada mtangazaji).
 
Manara hayuko sahihi, kale kajamaa kana matatizo ya kiakili sana na anapenda sana sifa. Alijifanya yeye ni zaidi ya Club wakati he's a nobody. Tunamjuwa Manara hata kabla hajawa anafahamika hapa nchini, ni mjanja mjana na tapeli mkubwa sana. In short ni ndumilakuwili, usikute hata Yanga alikuwa analipwa hela ili awatibulie Simba, he's useless.
Exactly ndo alichokuwa anafanya hasa mechi za derby
 
Me siamini kifukuzwa. Nafikiri kungeboreshwa kitengo chake, jamaa alikuwa muhamasishaji kuliko kuwa msemaji.
Kingine yy ni shabiki no 1 wa Simba.
 
Manara hayuko sahihi, kale kajamaa kana matatizo ya kiakili sana na anapenda sana sifa. Alijifanya yeye ni zaidi ya Club wakati he's a nobody. Tunamjuwa Manara hata kabla hajawa anafahamika hapa nchini, ni mjanja mjana na tapeli mkubwa sana. In short ni ndumilakuwili, usikute hata Yanga alikuwa analipwa hela ili awatibulie Simba, he's useless.
Tuliwaambia tangu mwanzo, ila mlikuwa mnamshangilia na kumuona yupo vizuri,japo alikuwa anaongea ugoro tangu zamani
 
Siku ukifanya kazi kwa muhindi utaelewa alichokisema Manara. Kiufupi Mo ni tapeli. CAG akakague hesabu za simba. Yaliyomkuta Manara ni mambo ya wahindi. Wahindi wanapenda kudhurumu ngozi nyeusi.
Kwani manara ni mweusi?
 
Ila kawavua nguo simba na kama ni kweli aliyosema soon simba inaenda shimoni yanga itakua inajipigia tu kama zamani
Walivyo na akili za kuvukia barabara tu wala hawalioni hili. Mo ni tapeli tu kama matapeli wengine.
 
Back
Top Bottom