- Thread starter
- #41
Ndo aihujumu timu kwa siri?Ivi mmewahi kufanya kazi na wahindi?; ni unprofessional sana.......Manara inawezekana yuko sahihi sema amechelewa kusema hayo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo aihujumu timu kwa siri?Ivi mmewahi kufanya kazi na wahindi?; ni unprofessional sana.......Manara inawezekana yuko sahihi sema amechelewa kusema hayo
Kivipi, kumbuka Manara hana ubavu wa kushawishi wachezaji wasicheze kwenye kiwango kwa sababu hawalipi pesa wachezaji na HAKUNA mchezaji yeyote wa Simba aliyemtilia maanani Manara bcs walimuona ni kama msanii tu. Simba walifanya kosa sana kumuacha Manara muda wote huu, jamas alikuwa hana lolote hapa mjini na pengine hata wewe mwenyewe Bujibuji ulikuwa humjuwi Manara kabla ya Simba, eti leo kaifanya Simba kuwa Club tofauti, how?Manara kaifanya Simba iwe club ya kitofauti nchini
Manara hayuko sahihi, kale kajamaa kana matatizo ya kiakili sana na anapenda sana sifa. Alijifanya yeye ni zaidi ya Club wakati he's a nobody. Tunamjuwa Manara hata kabla hajawa anafahamika hapa nchini, ni mjanja mjana na tapeli mkubwa sana. In short ni ndumilakuwili, usikute hata Yanga alikuwa analipwa hela ili awatibulie Simba, he's useless.Ivi mmewahi kufanya kazi na wahindi?; ni unprofessional sana.......Manara inawezekana yuko sahihi sema amechelewa kusema hayo
Alikuwa anacheza namba ngapi uwanjani? Nyie MAUTOPOLO ndio mumpae BICHWA na ujeuri ambao hastahili.Simba itapoa, Manara alikua anaichangamsha....
Mchukueni nyie! Kisha achwa hivyoooooo!Mtasema yote....teh
wewe chuki zako na Mo zinajulikana. huna credibility ya kumjadili unasukumwaa na chukiManara hajazungumza kuwa target mashabiki ..
Kuna watu maalum kawa target..
Watu wenye nguvu ya kuamua..
Lkn manara hana ngozi nyeusiSiku ukifanya kazi kwa muhindi utaelewa alichokisema Manara. Kiufupi Mo ni tapeli. CAG akakague hesabu za simba. Yaliyomkuta Manara ni mambo ya wahindi. Wahindi wanapenda kudhurumu ngozi nyeusi.
Exactly ndo alichokuwa anafanya hasa mechi za derbyManara hayuko sahihi, kale kajamaa kana matatizo ya kiakili sana na anapenda sana sifa. Alijifanya yeye ni zaidi ya Club wakati he's a nobody. Tunamjuwa Manara hata kabla hajawa anafahamika hapa nchini, ni mjanja mjana na tapeli mkubwa sana. In short ni ndumilakuwili, usikute hata Yanga alikuwa analipwa hela ili awatibulie Simba, he's useless.
Tunae mzee mpili anatosha....😁Mchukueni nyie! Kisha achwa hivyoooooo!
Nyie ndio mnajua namba yakeAlikuwa anacheza namba ngapi uwanjani? Nyie MAUTOPOLO ndio mumpae BICHWA na ujeuri ambao hastahili.
Aihujumu kwa lipi?Ndo aihujumu timu kwa siri?
Tuliwaambia tangu mwanzo, ila mlikuwa mnamshangilia na kumuona yupo vizuri,japo alikuwa anaongea ugoro tangu zamaniManara hayuko sahihi, kale kajamaa kana matatizo ya kiakili sana na anapenda sana sifa. Alijifanya yeye ni zaidi ya Club wakati he's a nobody. Tunamjuwa Manara hata kabla hajawa anafahamika hapa nchini, ni mjanja mjana na tapeli mkubwa sana. In short ni ndumilakuwili, usikute hata Yanga alikuwa analipwa hela ili awatibulie Simba, he's useless.
Kwani manara ni mweusi?Siku ukifanya kazi kwa muhindi utaelewa alichokisema Manara. Kiufupi Mo ni tapeli. CAG akakague hesabu za simba. Yaliyomkuta Manara ni mambo ya wahindi. Wahindi wanapenda kudhurumu ngozi nyeusi.
Walivyo na akili za kuvukia barabara tu wala hawalioni hili. Mo ni tapeli tu kama matapeli wengine.Ila kawavua nguo simba na kama ni kweli aliyosema soon simba inaenda shimoni yanga itakua inajipigia tu kama zamani
Wamechanganyikiwa waongea hovyo tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mo kasema anaachia ngazi, mwaka wenu huu manina zenuYanga imeingiaaje kwendaaaaa huko [emoji16]