Lakini mmefanikiwa kumpoteza manara ktk ramani ya soka maana alikuwa anawapa maneno ya shombo sana sasa kifuatacho ni nyinyi kumuona kama kondom iliyotumikaMtasema yote....teh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lakini mmefanikiwa kumpoteza manara ktk ramani ya soka maana alikuwa anawapa maneno ya shombo sana sasa kifuatacho ni nyinyi kumuona kama kondom iliyotumikaMtasema yote....teh
Huyo mjinga mpokeeni nyie yangaIla kawavua nguo simba na kama ni kweli aliyosema soon simba inaenda shimoni yanga itakua inajipigia tu kama zamani
Shabik maandaz katika ubora wakoINASHANGAZA SANA MANARA KUUSHUTUMU UONGOZI ULIOMBEBA PAMOJA NA MAKANDO HAYO.
- Haji huyuhuyu anaelalamikia uongozi wa simba, alikuwa analipwa 700k bila vyeti
- Manara huyuhuyu ambaye kabla ya simba hakuwa maarufu shida zake kubwa zilitatuliwa na MO kifedha kama kijana wake
- Manara huyuhuyu aliwahi kumtusi maneno mazito na kumdharau CEO wa simba kwasabu za uanauke wake
- Manara huyuhuyu aliyekuwa hajulikani na dunia alikuwa akidhaminiwa na club hata katika mambo yake binafsi.
- Manara huyuhuyu aliyebebwa na brand ya simba, alipewa mkataba wa 3mil, usafiri na house allowance kibao akagoma kwa kutaka awe huru kufanya kazi za inje pia.
- Manara huyuhuyu anaelalamikia simba alitumika kama dalali kuihujumu timu kwenye baadhi ya mechi za derby na ile ya keizer chief south kwa kupenyeza mrungula kwa baadhi ya wachezaji wacheze chini ya kiwango
- Manara huyu ndiye aliyetengeneza mkataba wa kubumba (300mil) ili kumshinikiza Mo avunje mkataba kwa bei kubwa zaidi (janja janja)..ndiyo maana hakutaka kumpa Mo aushike zaidi ya kumuonesha kama kitambulisho na kurudisha mfukoni
- Kiufupi Manara hana shukrani alifika mahali masikio yake yakazidi kichwa kilichoyabeba!
- Manara alijiona ni sehemu ya muwekezaji simba hivyo alitaka kugawana faida jambo ambalo halipo kwa wawekezaji duniani kote!
Hivyo manara popote alipo asisomeke wala kufanya press kwa brand ya simba!
Manara alivalishwa brand ya simba, manara kavuliwa brand ya simba, Jina la Simba liendelee!
Kama nyie maneno ya Zahera yalivyowavua nguo.Ila kawavua nguo simba na kama ni kweli aliyosema soon simba inaenda shimoni yanga itakua inajipigia tu kama zamani
huyu Manara alitakiwa kitambo Sana yaani Sana awe amefukuzwa mtoto umleavyo ndivyo akuavyo apo kimya ni jibu wakimjibu wameishaNatumia fursa hii kuomba radhi kwa wote walioshauri afukuzwe nikawabishia..Huyu jamaa ni punguani
For sure he was a disgrace to our club, huwezi kuishambulia taasisi uliyoifanyia kazi, mengine unatakiwa kwenda nayo kaburini maisha yaendelee.Natumia fursa hii kuomba radhi kwa wote walioshauri afukuzwe nikawabishia..Huyu jamaa ni punguani
Manara hafaiNatumia fursa hii kuomba radhi kwa wote walioshauri afukuzwe nikawabishia..Huyu jamaa ni punguani
Ila kawavua nguo simba na kama ni kweli aliyosema soon simba inaenda shimoni yanga itakua inajipigia tu kama zamani
Ila kawavua nguo simba na kama ni kweli aliyosema soon simba inaenda shimoni yanga itakua inajipigia tu kama zamani
HakikaKupitia kuropoka kwa haji manara ndo nimegundua umuhimu wa kile kiapo wanachosemaga viongozi wa serikali kwamba sitotoa siri za serikali kumbe kina mantiki kubwa sana na hapa haji inabidi ajiandae kuanguka kibiashara kwa promo zake kwani hakuna bosi atakaekuwa tayari kufanya nae kazi kwani anawaza kama ameweza kumzungumza mo kwa mabaya jee atashindwaje kunianika na mimi pindi tukishindwana
Duuh huo mfano kibokoAlichokifanya manara leo hakina tofauti na mtu ukatongoze mke wa mtu, akukubalie tena bila usumbufu, umpige rungu halafu siku moja ukiwa unapiga rungu afumaniwe na mumewe, aje aachike halafu aje kwako kutaka muishi wote kwa kuwa ameshaachika kwa mumewe kisa ni wewe wakati wewe unawaza kama aliweza kumdangaya mumewe akaja kwangu, jee itashindikana vipi atoke kwangu aende kwa mwingine? Hapo naona mwanaume utasema aaah wapi hapa hakuna mwanamke wa kukaa nae ndo haji manara huo mfano unamuhusu.
Ndoto ya mwendawazimu hiyo. Maneno ya mropokaji, msaliti na mpuuzi hayawezi kuiangusha Simba. Najua uwekezaji wa Mo Simba umekuwa mwiba mchungu kwenu Utopolo, mtasubiri sana anguko la Simba.Ila kawavua nguo simba na kama ni kweli aliyosema soon simba inaenda shimoni yanga itakua inajipigia tu kama zamani