moniccca
JF-Expert Member
- Nov 15, 2015
- 2,383
- 3,285
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa akili yako ya kuvukia barabara unaona kawakashifu lkn kwa wenye akili tumemuelewa sana msemaji wa nchi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Haji hajatumia busara kabisa,angenyamaza ingependeza zaidi pia akumbuke Kuna kesho maisha yanaendelea.Leo anawakashifu watu kama moo lakini akumbuke kesho atawahitaji haohao wamsaidie.
Kimeumana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] semaji la nchi limesema we ni nani mpaka upinge[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Natumia fursa hii kuomba radhi kwa wote walioshauri afukuzwe nikawabishia..Huyu jamaa ni punguani
Mambumbumbu wangekuwa na akili Kama zako wasingeshabikia janja janja ya moManara hajazungumza kuwa target mashabiki ..
Kuna watu maalum kawa target..
Watu wenye nguvu ya kuamua..
Wale ambao hawaendeshi club kimagumashi watamchukua.Manara mshamba sana tena hafai kuajiriwa maana Jokofu lake wala haligandishi na atakayekubali kumchukua manara basi yatamkuta yaliyomkuta simba
Mwanaume lazima ujue kutunza siri syo kubwabwaja tu
moo katangaza kuondoka simba umeyasikia hayo lakini ha ha ha ha mnaludi kule kuleeee mtapiga ndondo sana kutafuta helaNdoto ya mwendawazimu hiyo. Maneno ya mropokaji, msaliti na mpuuzi hayawezi kuiangusha Simba. Najua uwekezaji wa Mo Simba umekuwa mwiba mchungu kwenu Utopolo, mtasubiri sana anguko la Simba.
Kweli kabisaSiku ukifanya kazi kwa muhindi utaelewa alichokisema Manara. Kiufupi Mo ni tapeli. CAG akakague hesabu za simba. Yaliyomkuta Manara ni mambo ya wahindi. Wahindi wanapenda kudhurumu ngozi nyeusi.
Ukimaliza kuota wahi washroom usijekojoa kitandaniPoleni sana bodi ya Simba joka mlilofuga wenyewe linaendelea kuwatafuna. Miaka mitatu/minne iliyopita sisi tuliokuwa tunaona mbali tuliwashauri hapa jamvini mumtimue huyo Manara wenu lakini hamkutuelewa na kuna wanajamvi walituzodoa hapa haya sasa yametimia. Lakini hongereni kwa kuchukua maamuzi magumu japo yamechelewa...
Jezi haitamaniki hata kuvaa,Hahahah Mwamedi bana!....
Analalamika anatumia pesa zake nyingi kwasababu anaipenda simba, si kibiashara, yani hapati kitu, no return, alafu hapohapo kayajaza matangazo kwenye jezi kama notice board!
Mbele mbam! Nyuma mbam! [emoji1][emoji1][emoji23][emoji23]View attachment 1880143
[emoji817]% correct!Simba itapoa, Manara alikua anaichangamsha....
Current anakula sana fedha za matajiri kama ulikua hujuiShida ya Manara ni kuinua mabega juu.
Yaani kujikweza tu basi.
Angekuwa mnyenyekevu Angekula sana pesa za Matajiri.
Kuna mambo yanahitaji subira ili kukaa sawa.
Manara anataka kila dukuduku yake itatuliwe leo leo.
Uwanjani sio? Kwamba Chama, Banda, Bocco na Mugalu watapoa?Simba itapoa, Manara alikua anaichangamsha....
Kama ni kweli aondoke anatabia za kuzira kama mwanamke na hii inadhihirisha aliyoyasema manara ni kweli ndo maana umemuumamoo katangaza kuondoka simba umeyasikia hayo lakini ha ha ha ha mnaludi kule kuleeee mtapiga ndondo sana kutafuta hela
Jipe muda, utajioneaUwanjani sio? Kwamba Chama, Banda, Bocco na Mugalu watapoa?
miaka minne haitoshi?Jipe muda, utajionea
Yaan ukisikia kuchonga kinyago halafu kikutishe ndo hiviManara amepata umaarufu kupitia uwekezaji na jitihada za Mo. Halafu anautumia umaarufu huo kutangaza bidhaa za wafadhili wa Yanga. So unfair
[emoji28][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]Lkn manara hana ngozi nyeusi