mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 20,925
- 51,688
Antonio Nugaz mpemba mmoja mjanja mjanja kipindi yupo Clouds Media alikula sana posho za night allowance(per diem)
Alizunguka Tanzania nzima kurekodi vivutio vya utalii, kipindi alikimudu kwelikweli. Yanga wakamuona wakampa mkataba yeye na Hassan Bumbuli.
Augost 2021 Haji Manara huyu hapa Yanga,yalipigwa majungu na figisu za hatari, Antonia akatimuliwa, sasa yuko magomeni anauza nguo, angalau Bumbuli yuko bank fulani hivi department ya mawasiliano ya umma
Malipo hapahapa duniani
Alizunguka Tanzania nzima kurekodi vivutio vya utalii, kipindi alikimudu kwelikweli. Yanga wakamuona wakampa mkataba yeye na Hassan Bumbuli.
Augost 2021 Haji Manara huyu hapa Yanga,yalipigwa majungu na figisu za hatari, Antonia akatimuliwa, sasa yuko magomeni anauza nguo, angalau Bumbuli yuko bank fulani hivi department ya mawasiliano ya umma
Malipo hapahapa duniani