Haji Manara alivyomuharibia Antonio Nugaz maisha, yupo Magomeni anauza nguo

Haji Manara alivyomuharibia Antonio Nugaz maisha, yupo Magomeni anauza nguo

Kuna kipindi inasemekana nugaz alikuwa akipokea pesa nyingi zaidi clouds kutokana na commission ya matangazo aliyokuwa akipewa..

Kama aliacha inamaanisha aliona potential ya Yanga na kama mambo hayakwenda vizuri. Kurudi clouds sidhani kama ingekuwa rahisi maana alikuwa Tv presenter na kwa clouds, TV yao ni by the way tu. Pia hakuwa na influence kama ya millard so, kurudi kwake kusingeleta impact kubwa sana
Ile alifanya betting mkeka ukachanika,katika utafutaji wa naisha hayo hutokea,pole yake
 
Hawa watu wa dini ya mwarabu hupenda Sana kubadilisha majina Yao yaonekane ya ki marekani

🔹 Juma anajiita ANTONIO

🔹 Jumanne anajiita Jfour

🔹Mohamed anajiita muddy

🔹 Omari anajiita Omy

🔹Ramadhani anajiita Ramsow

🔹Hamisi anajiita Holmes

🔹 Shabani anajiita Shelby duu
Hiyo sheby duu imekaa kitaalam zaidi.
 
Hawa watu wa dini ya mwarabu hupenda Sana kubadilisha majina Yao yaonekane ya ki marekani

🔹 Juma anajiita ANTONIO

🔹 Jumanne anajiita Jfour

🔹Mohamed anajiita muddy

🔹 Omari anajiita Omy

🔹Ramadhani anajiita Ramsow

🔹Hamisi anajiita Holmes

🔹 Shabani anajiita Shelby duujsnasTaT
Tasnia ya habari ruksa kutumia jina utakalo
 
Hivi hapo Clouds wanalipa nn cha maana, ukiwa popote lazima ujiongeze, pengine alikuwa anauza nguo tangu akkiwa clouds
Hivi hapo Clouds wanalipa nn cha maana, ukiwa popote lazima ujiongeze, pengine alikuwa anauza nguo tangu akkiwa clouds
Ukiona kazi yoyote ina safari safari ujue ina maslahi,nature ya kipondi chake ilikuwa ni kusafiri safiri Tanzania nzima...per diem lazima ihusike
 
Siku hizi vipindi vinarushwa na wadhamini. Unajua wadhamin wanarusha matangazo kwa bajeti flan ambapo waendesha kipindi ndo wanufaika wakubwa
Muendesha kipindi atanufaika na tangazo endapo kama ni yeye aliyemleta huyo mdhamini au show ipo kama yake kiasi cha kuwa na influence ya kuua kipindi kama akiondoka mfano Millard Ayo..

Mbali na hapo. Unalipwa laki tano vizuri tu mkuu hata kama jina ni kubwa maana bongo hii ukitoa wasanii. Kundi linalofuata kuwa na umaarufu usio na hela ni media presenters
 
Muendesha kipindi atanufaika na tangazo endapo kama ni yeye aliyemleta huyo mdhamini au show ipo kama yake kiasi cha kuwa na influence ya kuua kipindi kama akiondoka mfano Millard Ayo..

Mbali na hapo. Unalipwa laki tano vizuri tu mkuu hata kama jina ni kubwa maana bongo hii ukitoa wasanii. Kundi linalofuata kuwa na umaarufu usio na hela ni media presenters
Siku hizi kabla hujapew kipindi, unaanda bajeti gani mchanganuo wa fedha na mahitaj. Alafu Wenye broadcast yao wanakwambia kwenye bajeti ile watakava asilimia les than 30%. Zilizobaki utafte mdhamin nje huko.

Kuja jama yangu aliwah kufatilia pale Dstv mwaka hu
 
Back
Top Bottom