Fundi manyumba
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 3,799
- 8,063
Sam kwani now anafanya kazi gani..?"WAPE SALAMU"
Sifikirii Kama amekosa RADIO kubwa au TV ya kumpa kazi Nugaz
Watu maisha yao yapo too private ni Kama SAM MISAGO alivyoamua kukaa nje ya media na kufanya kazi za kiofisi zaidi.
Maana naona yupo mule mule kwenye industry now ana media