Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwakajana alihudhuria sherehe za wiki ya mwananchi na kufanya utambulisho wa wachezaji wakati akiwa bado kafungiwa ila cha kushangaza TFF hawakumuongezea adhabu yoyote.Huyu mbwa wangemfutia kabisa adhabu ya faini badala yake wangemuongezea adhabu afungiwe maisha kujishughulisha na mpira wa miguu
Pale Alienda Kama MC Kama ilivyo Kwa Wengine Akina Kitenge Na DakotaMwakajana alihudhuria sherehe za wiki ya mwananchi na kufanya utambulisho wa wachezaji wakati akiwa bado kafungiwa ila cha kushangaza TFF hawakumuongezea adhabu yoyote.
Nina uhakika jumamosi ijayo atafanya yaleyale ya kama mwaka jana.
Nasubiri nione kama TFF watafanya chochote
MC kwenye shughuli gani....inayohusiana na niniPale Alienda Kama MC Kama ilivyo Kwa Wengine Akina Kitenge Na Dakota
😎😎 JF wanajua kutunzaKesho kutwa tutaambiwa anatakiwa kulipa hiyo 10m then anakuwa huru,mwaka huu haupinduki Manara anatoka kizuizini tunza hii message