Haji Manara "anachapiwa" Bi. Mdogo?

Haji anamsifia mke mkubwa baada ya kuachwa na mke mdogo! Haji anaoa na kuacha tayari keshajulikana mjini hana biashara wala uwekezaji wowote yaani ni chawa kama akina Baba Levo, tena wenzake wanamshinda akili, haji anaoa wanawake wanamjua ni janja janja wanaachana nae haji atabaki kama kumbukumbu ya mahusiano kwa jamii,
 
Sasa km unachukua wanawake ili kuonesha wee ni rijali, ili hali unajijua hata nguvu ya ku pump ndan nje huna, yeye mwenyewe kuna mtu nyuma yake na anapumua.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…