Haji Manara "anachapiwa" Bi. Mdogo?

Haji Manara "anachapiwa" Bi. Mdogo?

Haji anamsifia mke mkubwa baada ya kuachwa na mke mdogo! Haji anaoa na kuacha tayari keshajulikana mjini hana biashara wala uwekezaji wowote yaani ni chawa kama akina Baba Levo, tena wenzake wanamshinda akili, haji anaoa wanawake wanamjua ni janja janja wanaachana nae haji atabaki kama kumbukumbu ya mahusiano kwa jamii,
 
Haji ht Mmoja peke Ake hamuwezi ,Hajj mpigaji ,kisirani na ana inferiority complex na Hali yake ilivyo,yule rubyna Kwa kua tu kachoka naye alikua anatafuta pakutulia maana walikua wapenzi wakaachana wamerudiana Ndo kuoana
Anaamini Kwa kua ana pesà,fame Ndo anamchukulia mke km bidhaa Kwa attitude ya Hajj ni ngumu kuishi na mke km tu watu wa kawaida wanakosana nae
Sasa km unachukua wanawake ili kuonesha wee ni rijali, ili hali unajijua hata nguvu ya ku pump ndan nje huna, yeye mwenyewe kuna mtu nyuma yake na anapumua.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom