Haji Manara "anachapiwa" Bi. Mdogo?

Si ni kwamba Haji ameachana na Bi mdg nmepata umbea kutoka kwa cocastic
 
Huwa unatoa points sana kwenye comments zako nyingi ila leo sijakufeel kabisa.

Nina miaka 76 na nilichojifunza ni kwamba unaweza kumfanyia yote mwanamke - uliyoyataja hapa na mengineyo lakini bado ukachapiwa tu. Tena hawa wa kisasa hawa ndo kabisaa. Unafanya yote haya halafu mkeo anakuja kuliwa na boda, shamba boy au mangi wa hapo jirani. Ukiuliza eti mazoea au matani.....na kusifiwa sifiwa...anti leo umependeza sana...anti umenoga....

Ila uliyosema yanasaidia kupunguza dhahma tu ila nijuavyo mimi kuchapiwa kuko pale pale!

#KuchapiwaHakuepukiki
#KitandaHakizaiHaramu
#KuchapiwaNiSiriyaNdani
 
Thanks na hatujaumbiwa kukamilika 100% right babu...in our inperferctions, our mighty Father perfects us. Ilikua ni mtazamo wangu tu mzee ila kama hujaelewa ama hujaafikiana its fine. Na uzuri umenicorrect so peace and love....ila uachage kupenda inyee sasa 😝😝
 
Mnhhhh
 

Hapa nimeku-feel poa. Trust me. Huwa nasoma karibu kila kitu chako maana una busara sana na inavyoonekana umesimama katika Neno. Endelea hivyo hivyo...

Kuhusu kupenda inyee hiyo ni kufurahisha baraza tu humu na fantasy ya tangu ujana huko miaka ya sitini. Inyee na miaka 76 wapi na wapi mjukuu wangu?

Mwaka mpya mwema na kila lililo la heri na likakudhihirikie. Stay blessed! [emoji1545]
 
Yeeey nimepata baraka za babuuu. Merci bouque Monsieur...
 
Hivi mkuu huu umri huwa uko serious au huwa unatuchangamsha tu, nimefuatilia siku nyingi ila sijaamini bado.
 
Miaka 76 na huu usiku unatyping bila ya kukosea na macho umeyatoa kama fundi saa kweny simu...Toa uongo wako hapa!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…