Haji Manara "anachapiwa" Bi. Mdogo?

76 years old..

Humu JF tuheshimiane aisee.
 
Hadi kutazama picha! [emoji3]
 
[emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1][emoji16][emoji16][emoji16]shimbaaaa daahhh!!!
Babuuuu umenifurahishaa
 
Mimi nitaishia kukusimulia tu kama nni shoga yangu nitasema niko na fulani, na vile napendaga mbali mbali na siweziposti basi ni kibaki na labda, siwezi tangaza myu wangu.
 
Hivi Mke anatorokaje? Huyo amerudi kwa mtu wake wa zamani tu.
 
huwezi kukuta mwanamke anashare mwanaume na mawanamke mwigine halafu wawe marafiki wanamcezea ila kuna wanaume wao ambao wanao huyu manara ni kwa ajili ya mahiaji...and besides that its tight than you could ever think
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…