The only
JF-Expert Member
- May 19, 2011
- 10,805
- 14,181
Fafanua kwa kinaJamaa wanadai engine inakula oil..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fafanua kwa kinaJamaa wanadai engine inakula oil..
76 years old..Huwa unatoa points sana kwenye comments zako nyingi ila leo sijakufeel kabisa.
Nina miaka 76 na nilichojifunza ni kwamba unaweza kumfanyia yote mwanamke - uliyoyataja hapa na mengineyo lakini bado ukachapiwa tu. Tena hawa wa kisasa hawa ndo kabisaa. Unafanya yote haya halafu mkeo anakuja kuliwa na boda, shamba boy au mangi wa hapo jirani. Ukiuliza eti mazoea au matani.....na kusifiwa sifiwa...anti leo umependeza sana...anti umenoga....
Ila uliyosema yanasaidia kupunguza dhahma tu ila nijuavyo mimi kuchapiwa kuko pale pale!
#KuchapiwaHakuepukiki
#KitandaHakizaiHaramu
#KuchapiwaNiSiriyaNdani
Hapa sipingi kaka. 🙌It goes both ways, na wanaume wanaharibu zaidi (my opinion)
Hadi kutazama picha! [emoji3]Sawasawa nakubaliana na wewe katika hili haipendezi kuanika wenza wetu hasa katika mitandao ya kijamii, nyaki nyaku ziko pale zinasubiri kunyakua, tena mtu ni maarufu [emoji23][emoji23][emoji23]tumewaona wengi na waliangukia pua
Hata kutambulisha mashosti bwana ako haitakiwi labda awe mume na ukiwa na mume shosti wa nini, mi ndo maana naonekana naringa huwezi kujua mapito yangu labda niamue kukusimulia ila katika vitu sivitaki ni ke kuzoeana na mtu wangu hata kwa kumtizama picha tu sitaki,
[emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1][emoji16][emoji16][emoji16]shimbaaaa daahhh!!!Unaweza ukanitambulisha kwake tuwe tunapiga stori za enzi zetu?
Kujichanganya humu na vijana inasaidia sana. Tunakuwa up to date na matukio yote, tunajifunza pigo zenu wa kizazi kipya na pisi zenu hizi za mchongo. Na mind yetu inakuwa sharp balaa. Siyo mtu unazeeka unakuwa grumpy and bitter no! Mtuvumilie tu kwa sababu hakuna namna!
Malaya Manara Hana lolote,ogopa mwanaumee anaecha Kila sikuNaona ameshanza kumtaftia vijisababu vya kumuacha na atamuacha tu ili amuoe mwingine
Dah kuanzia leo nakuwa na adabu kuliko nilizonazo.Mzee wangu ana 62 na yupo humu humu pia.
Black Sniper Natambua uwepo wako mkuu.Jamani nitambulisheni kwa hawa wazee wenzangu tujuane. It will be very cool wallahi
Ilaa jamaa mbayaa anakula mtu na mkeweee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na hawajuani wala nn
Uwiiiiiih.
Mume hazoewi kirahisi hivyo,Hadi kutazama picha! [emoji3]
Mimi nitaishia kukusimulia tu kama nni shoga yangu nitasema niko na fulani, na vile napendaga mbali mbali na siweziposti basi ni kibaki na labda, siwezi tangaza myu wangu.Sawasawa nakubaliana na wewe katika hili haipendezi kuanika wenza wetu hasa katika mitandao ya kijamii, nyaki nyaku ziko pale zinasubiri kunyakua, tena mtu ni maarufu 😂😂😂tumewaona wengi na waliangukia pua
Hata kutambulisha mashosti bwana ako haitakiwi labda awe mume na ukiwa na mume shosti wa nini, mi ndo maana naonekana naringa huwezi kujua mapito yangu labda niamue kukusimulia ila katika vitu sivitaki ni ke kuzoeana na mtu wangu hata kwa kumtizama picha tu sitaki,
Hivi Mke anatorokaje? Huyo amerudi kwa mtu wake wa zamani tu.Kuna tetesi kwamba mke mdogo wa Haji Manara alimtoroka Haji Manara usiku akaenda kulala 5star Hotel.
Je Haji anachapiwa?
Ndio shida ya kuanika wake zako mitandaoni na kuwaleta mbele ya midume yenye fedha zao.
Kwa wale wapenzi wa Simba, nawakumbusha kwamba Simba iko Dubai na Tajiri wao, ila haihusiani
Ati alimnunulia range, range my takle??Nimecheka hapo kwenye mme wa zamaradi hana ela🤣🤣🤣
huwezi kukuta mwanamke anashare mwanaume na mawanamke mwigine halafu wawe marafiki wanamcezea ila kuna wanaume wao ambao wanao huyu manara ni kwa ajili ya mahiaji...and besides that its tight than you could ever thinkKuna tetesi kwamba mke mdogo wa Haji Manara alimtoroka Haji Manara usiku akaenda kulala 5star Hotel.
Je Haji anachapiwa?
Ndio shida ya kuanika wake zako mitandaoni na kuwaleta mbele ya midume yenye fedha zao.
Kwa wale wapenzi wa Simba, nawakumbusha kwamba Simba iko Dubai na Tajiri wao, ila haihusiani
Kabisa haipendezi mashosti kuzoeana na shemeji yao kabisa haifaiMimi nitaishia kukusimulia tu kama nni shoga yangu nitasema niko na fulani, na vile napendaga mbali mbali na siweziposti basi ni kibaki na labda, siwezi tangaza myu wangu.
Hawa viumbe ndio walisababisha hadi leo wanaume tunakula kwa jasho. [emoji119]
Pole, don't hate everything spoken in sN. I didn't point at you. I am sorry!Acha uwongo wewe jitafakari
Jitu zima ovyoooooo[emoji35]