Haji Manara apigwa chini idara ya habari Simba

Anawanyima raha yanga wengi sana...
Anaenda kuwa mhamasishaji rasmi, sasa hapo ndio mtakimbia..
Amekataa kuwa chini ya Gift Macha. Maana mtu aliekuwa anajiona le Boss kupangiwa cha kuongea na le Boss wa sasa Gift Macha ni aibu kwa Haji. Demotion isikie tu.
 
Macha aandae press zote lakini aje aseme Haji. Hii mpya. Macha hana mdomo?
At least zile typos na grammatical errors za press release za 5imba zitaondoka au kupungua.
Macha ataongea kwenye press. Haji atakuwa mtu wa ushabiki tu. What a demotion. Shule ni muhimu jamani.
 
Yanga kumbe mnamchukia Haji zaidi ya utani wa jadi?Haji bado yupo sana Simba andaeni maandamano kupinga kubaki kwake. Gift ni afisa habari na Haji ni msemaji
Hamna anaemchukia.Ila alijiona yeye ni le Boss wa Simba kitengo cha habari kumbe sasa kapata Boss wake.
 
Acha apate nafasi ya kwenda kortini ana kesi kibao za utapeli.
Yule tapeli mkubwa,sijui hata kazi ya kuwa mkuu wa kitengo cha habari Simba aliipata vipi? Huyo kishafanya kazi ya kutembea tembea kila siku pale CCM Lumumba. Alishafikishwa mahakamani kwa utapeli wa magari.
 
Gift ndo Le Boss mwenyewe,Haji la saba alijiona kafika kuwa leBOSS wa idara ya habari Simba.
Mo hataki vilaza.Mara uwaite mashabiki ni tecno ,biashara ile.Mo kaona isiwe tabu anataka kampuni yake Simba iendeshwe kisomi zaidi.

Kuna element za wivu hapa
 
Yule tapeli mkubwa,sijui hata kazi ya kuwa mkuu wa kitengo cha habari Simba aliipata vipi? Huyo kishafanya kazi ya kutembea tembea kila siku pale CCM Lumumba. Alishafikishwa mahakamani kwa utapeli wa magari.
Tapeli mzoefu. Gari moja bovu waliuziwa watu kadhaa wa mikoani.
Wa kwanza likimfia Kimara, anaambiwa linatengenezwa au utapata lingine na anauziwa mwingine.
 
Hilo hakuna ubishi, kwani wanachezea menyewe kwa menyewe.
Kwa hiyo John Bocco, Manula, Nyoni Kapombe (alianzia Simba kabla ya Azam) ni wachezaji wa Azam sio?
.
Kama ni hivyo basi na nyie Yondani wetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…