Haji Manara asaidiwe kabla ya kuanza kuokota makopo na chupi kichwani

Haji Manara asaidiwe kabla ya kuanza kuokota makopo na chupi kichwani

Amini nawaambieni huyu ataendelea kutangaza matokeo ya simba
 
Mnae huyo,now anawakera mikia wenzie kila siku mnalalamika mitandaoni yote anawaumiza kikweli kweli mnajikaza

FB_IMG_1628837625214.jpg
 
Alimtukana Shafih akawatukana E-Fm, walifanya interview na Manura akawatukana Wasafi juzi kati kawatukata wachambuzi akawaita taka taka mka kausha hayo apo sasa

Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
ulitaka kesho yake afukuzwe?! ulitaka hivi walimvyomfukuza waitishe media waje na orodha ya makosa yake? kuachana naye leo inaweza kuwa sababu ni hizo ulizotaja
 
View attachment 1893431

Ukiachwa achika

Vijembe anavyorusha kwa Mo Dewji na Simba Sc na bado hajibiwi vinaweza kumfanya huyu mtu akawa data na kuanza kuokota makopo. Hatua aliyofikia ni mbaya sana hakuna tofauti yeyote na mtu ambaye wehu ndo umeanza kuingia ingia, ameanza kutembea bila viatu amekushikilia suruali kiuoni haina mkanda.

Nawashauri wanasaikolojia na ndugu za karibu kumsadia. Hata wanaomtumia wajaribu kumuweka sawa kiakili kabla ya kumtumia. Kichaa haaminiki, muda wowote anaweza kukugeuka.
Marakifi wa kweli ni wale wanaoweza kumwambia rafiki ukweli wa kumsadia badala ya kumchekelea.

Imagine unaweza kumsingizia mtu uongo wa kiwango hiki. Achana na timu ya mpira, hata kampuni ya mfukoni tu ya mfanyabiashara aliyeanza biashara juzi hawezi kutengeneza logo yenye picha yake sembuse Mo Dewji.

Nataka kuamini Simba Sc imemtimua Haji Manara kwa sababu ya matatizo ya akili, lakini haikutaka kuweka wazi.
Wanadamu wanafiki sana,si nyie ndio mlikuwa mnafurahia Haji akiwaita Yanga nyani, mara awaite waandishi wa habari takataka na hatukwahi kusikia mkimlaani hivyo, wakati huo alionekana lulu ila sasa sababu anamshambulia tajiri yenu basi imekuwa nongwa ,mumesahau usemi wa umleavyo mtoto ndivyo akuavyo, sasa anawarudi kwa raha zake. na hayo makopo hataokota ila mnae hadi raha.
 
Huyu jamaa saikolojia inaniambia ni mpigaji. Alitaka kumpiga MO na sasa MO anaendesha shughuli zake kitaasisi of which kwa wabongo ni kero. Kumbuka kisa cha kuvunja mkataba kwa 300mil. Hii ni draft ilipigwa na jamaa kachomoa kingi
 
View attachment 1893431

Ukiachwa achika

Vijembe anavyorusha kwa Mo Dewji na Simba Sc na bado hajibiwi vinaweza kumfanya huyu mtu akawa data na kuanza kuokota makopo. Hatua aliyofikia ni mbaya sana hakuna tofauti yeyote na mtu ambaye wehu ndo umeanza kuingia ingia, ameanza kutembea bila viatu amekushikilia suruali kiuoni haina mkanda.

Nawashauri wanasaikolojia na ndugu za karibu kumsadia. Hata wanaomtumia wajaribu kumuweka sawa kiakili kabla ya kumtumia. Kichaa haaminiki, muda wowote anaweza kukugeuka.
Marakifi wa kweli ni wale wanaoweza kumwambia rafiki ukweli wa kumsadia badala ya kumchekelea.

Imagine unaweza kumsingizia mtu uongo wa kiwango hiki. Achana na timu ya mpira, hata kampuni ya mfukoni tu ya mfanyabiashara aliyeanza biashara juzi hawezi kutengeneza logo yenye picha yake sembuse Mo Dewji.

Nataka kuamini Simba Sc imemtimua Haji Manara kwa sababu ya matatizo ya akili, lakini haikutaka kuweka wazi.
Simba ni taasisi na ni ajira watu waingie na kutoka. Huyu kaifanya too personal. Dadeki dadeki nini mtu haupo tena pale!!
 
Kianacho mtesa huyo ni ule ujinga alioupandikiza kichwan kuwa yeye ni mtu wa muhim sana kweny club na akajiona ni superstar kuliko mtu yeyote hata post zake nyingi zilionyesha ni mtu wa majivuno kupindukia baada ya kufkuzwa kwenye club juu juu ameumia sana , kilicho mfanya awe maarufu ni usemaji wa club mbal na hapo yeye kama yeye binafsi hana ushawishi kwa watu siku znavyokwenda anaweza kupoteza hata madili ya ubalozi wa bidhaa za kampuni kubwa kwakua atakaua Hana ushawishi na ataanza kupost matangazo ya waganga wa kienyeji kwenye page yake
 
Dewj ni tapeli la kimataifa litaiacha timu yetu muda si muda
timu yako na nani,nyie ndio wajing wachache tunaowashauri tumieni akili wakati wote. Huu upuuzi mnaouandika hauishii humu tu unaakisi kushindwa kwa maisha yako halisi
 
View attachment 1893431

Ukiachwa achika

Vijembe anavyorusha kwa Mo Dewji na Simba Sc na bado hajibiwi vinaweza kumfanya huyu mtu akawa data na kuanza kuokota makopo. Hatua aliyofikia ni mbaya sana hakuna tofauti yeyote na mtu ambaye wehu ndo umeanza kuingia ingia, ameanza kutembea bila viatu amekushikilia suruali kiuoni haina mkanda.

Nawashauri wanasaikolojia na ndugu za karibu kumsadia. Hata wanaomtumia wajaribu kumuweka sawa kiakili kabla ya kumtumia. Kichaa haaminiki, muda wowote anaweza kukugeuka.
Marakifi wa kweli ni wale wanaoweza kumwambia rafiki ukweli wa kumsadia badala ya kumchekelea.

Imagine unaweza kumsingizia mtu uongo wa kiwango hiki. Achana na timu ya mpira, hata kampuni ya mfukoni tu ya mfanyabiashara aliyeanza biashara juzi hawezi kutengeneza logo yenye picha yake sembuse Mo Dewji.

Nataka kuamini Simba Sc imemtimua Haji Manara kwa sababu ya matatizo ya akili, lakini haikutaka kuweka wazi.
Ametoka kwa kinyongo ni kama kuacha mke huku roho inakuuma 😁😁😁😁
 
Ataiacha simba muda si muda timu yetu haiwezi kuwa chini ya tapeli alitapeli wanasingida kisiasa akadhani watanzania wote ni mafala
timu yako na nani,nyie ndio wajing wachache tunaowashauri tumieni akili wakati wote. Huu upuuzi mnaouandika hauishii humu tu unaakisi kushindwa kwa maisha yako halisi
 
Hivi uchaguzi ule wa mahera lini..

Huyu jamaa nadhani atatumika huko ....ngoja wasaka madaraka waanze harakati.
 
Back
Top Bottom