Haji Manara asaidiwe kabla ya kuanza kuokota makopo na chupi kichwani

Haji Manara asaidiwe kabla ya kuanza kuokota makopo na chupi kichwani

Alimtukana Shafih akawatukana E-Fm, walifanya interview na Manura akawatukana Wasafi juzi kati kawatukata wachambuzi akawaita taka taka mka kausha hayo apo sasa

Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
sasa havi kawa msemaji halisi wa simba akichoka kuwasema akili zitamrejea na kujuwa kwamba anaharibu taswira yake mwenyewe na si wale anaowasema
 
View attachment 1893431

Ukiachwa achika

Vijembe anavyorusha kwa Mo Dewji na Simba Sc na bado hajibiwi vinaweza kumfanya huyu mtu akawa data na kuanza kuokota makopo. Hatua aliyofikia ni mbaya sana hakuna tofauti yeyote na mtu ambaye wehu ndo umeanza kuingia ingia, ameanza kutembea bila viatu amekushikilia suruali kiuoni haina mkanda.

Nawashauri wanasaikolojia na ndugu za karibu kumsadia. Hata wanaomtumia wajaribu kumuweka sawa kiakili kabla ya kumtumia. Kichaa haaminiki, muda wowote anaweza kukugeuka.
Marakifi wa kweli ni wale wanaoweza kumwambia rafiki ukweli wa kumsadia badala ya kumchekelea.

Imagine unaweza kumsingizia mtu uongo wa kiwango hiki. Achana na timu ya mpira, hata kampuni ya mfukoni tu ya mfanyabiashara aliyeanza biashara juzi hawezi kutengeneza logo yenye picha yake sembuse Mo Dewji.

Nataka kuamini Simba Sc imemtimua Haji Manara kwa sababu ya matatizo ya akili, lakini haikutaka kuweka wazi.
Ndiyo anaenda kuwa Msemaji wao Mkuu akirejea kutoka huko Ziarani Dubai ( UAE ) ambako amepelekwa na hawa hawa anaojipendekeza Kwao leo hii.

Njoo Kesho Ilala Bungoni au Buguruni Malapa uweze kuyajua mengi yaliyojificha na ya Aibu yamhusuyo Haji Manara ambayo kwa Mtoto wa Kiume si mazuri kabisa.
 
Kuna watu wanaishi kwa kupiga domo mjini
Tilapia nyingi wanazo...hapo kuna mtu anatafuta
Achomekwe azam apige domo maisha yaendele

Ova
Ndiyo anaenda kuwa Msemaji wao Mkuu akirejea kutoka huko Ziarani Dubai ( UAE ) ambako amepelekwa na hawa hawa anaojipendekeza Kwao leo hii.
 
View attachment 1893431

Ukiachwa achika

Vijembe anavyorusha kwa Mo Dewji na Simba Sc na bado hajibiwi vinaweza kumfanya huyu mtu akawa data na kuanza kuokota makopo. Hatua aliyofikia ni mbaya sana hakuna tofauti yeyote na mtu ambaye wehu ndo umeanza kuingia ingia, ameanza kutembea bila viatu amekushikilia suruali kiuoni haina mkanda.

Nawashauri wanasaikolojia na ndugu za karibu kumsadia. Hata wanaomtumia wajaribu kumuweka sawa kiakili kabla ya kumtumia. Kichaa haaminiki, muda wowote anaweza kukugeuka.
Marakifi wa kweli ni wale wanaoweza kumwambia rafiki ukweli wa kumsadia badala ya kumchekelea.

Imagine unaweza kumsingizia mtu uongo wa kiwango hiki. Achana na timu ya mpira, hata kampuni ya mfukoni tu ya mfanyabiashara aliyeanza biashara juzi hawezi kutengeneza logo yenye picha yake sembuse Mo Dewji.

Nataka kuamini Simba Sc imemtimua Haji Manara kwa sababu ya matatizo ya akili, lakini haikutaka kuweka wazi.
Je, ni kweli Mo alitaka aweke bichwa lake kwenye logo ya Simba? Maana hicho ni kituko , na ndio hoja ya msingi hapo kwenye bandiko lake, sasa asime?!
 
Hebu tujiulize sasa hivi watu wengi ndio tunagundua kuwa jamaa ni hamnazo baada ya kufukuzwa. Iwapo asingefukuzwa mpaka leo tusingejua kuwa msemaji wa Simba alikuwa "mental case". Bodi ya Simba, wachezaji pamoja na wafanyakazi wanahitaji kupewa taji la uvumilivu kwa kuweza kuishi na kufanya kazi kwa ukaribu na huyo jamaa kwa zaidi ya miaka mitano bila kutoa mapungufu yake hadharani au hata kumlamba makofi mawili matatu hivi.

Ukitaka kujua jamaa hamnazo angalia vituko anavyofanya sasa hivi akifikiria kuwa anamkomoa Mo na Simba kwa ujumla kumbe masikini ya Mungu angekuwa na akili hata kidogo tu angejua kuwa baadhi ya vituko anavyofanya vinamuharibia "future" yake na watu alio karibu nao. Na kuna mambo anayatamka na kuyafanya hadharani kiasi yanathibitisha zile tuhuma kuwa alikuwa anaihujumu Simba kuwa na kaukweli fulani. Naanza kuamini kuwa jamaa ni Yanga damu pale Simba alikuwa tu kwa maslahi yake kwa sababu kwa shabiki wa Simba damu hawezi kuibomoa Simba kwa tuhuma za kutunga au hata kwa tuhuma za ukweli kama zipo. Sana sana mtu ambaye ni Simba damu atafunika kombe mwanaharamu apite kama alivyofanya Swedi Mkwabi.

Bodi ya Simba na viongozi wote endeleeni kuwa wavumilivu hivyo hivyo mpotezeeni kabisa huyo jamaa msihangaike naye nyie fanyeni kazi zenu tu. Mkimfuatilia mtapoteza "focus" yenu. Hapa alipofikia sasa hana jipya baada ya ule mkutano na waandishi wa habari zaidi sana sasa hivi anajimaliza mwenyewe bila kujua kwa kutoa tuhuma za kijinga tena za kutunga kama hiyo eti Mo alitaka kichwa chake kiwe kwenye nembo ya Simba. Mo huyu huyu mwenye kampuni kibao ashindwe nini kuweka picha yake kwenye bidhaa zake aje alazimishe kuweka picha yake kwenye nembo ya Simba. Uongo mwingine kwa kweli hata shetani aliyekuwa anakushauri uuseme ukishamaliza kuusema tu lazima akimbie mbio akuache mwenyewe uadhirike.
 
Leo tena karusha kijembe kingine kuhusu kuchanganya biashara na mapenzi...
 
Back
Top Bottom