sasa havi kawa msemaji halisi wa simba akichoka kuwasema akili zitamrejea na kujuwa kwamba anaharibu taswira yake mwenyewe na si wale anaowasemaAlimtukana Shafih akawatukana E-Fm, walifanya interview na Manura akawatukana Wasafi juzi kati kawatukata wachambuzi akawaita taka taka mka kausha hayo apo sasa
Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
Ndiyo anaenda kuwa Msemaji wao Mkuu akirejea kutoka huko Ziarani Dubai ( UAE ) ambako amepelekwa na hawa hawa anaojipendekeza Kwao leo hii.View attachment 1893431
Ukiachwa achika
Vijembe anavyorusha kwa Mo Dewji na Simba Sc na bado hajibiwi vinaweza kumfanya huyu mtu akawa data na kuanza kuokota makopo. Hatua aliyofikia ni mbaya sana hakuna tofauti yeyote na mtu ambaye wehu ndo umeanza kuingia ingia, ameanza kutembea bila viatu amekushikilia suruali kiuoni haina mkanda.
Nawashauri wanasaikolojia na ndugu za karibu kumsadia. Hata wanaomtumia wajaribu kumuweka sawa kiakili kabla ya kumtumia. Kichaa haaminiki, muda wowote anaweza kukugeuka.
Marakifi wa kweli ni wale wanaoweza kumwambia rafiki ukweli wa kumsadia badala ya kumchekelea.
Imagine unaweza kumsingizia mtu uongo wa kiwango hiki. Achana na timu ya mpira, hata kampuni ya mfukoni tu ya mfanyabiashara aliyeanza biashara juzi hawezi kutengeneza logo yenye picha yake sembuse Mo Dewji.
Nataka kuamini Simba Sc imemtimua Haji Manara kwa sababu ya matatizo ya akili, lakini haikutaka kuweka wazi.
Ndiyo anaenda kuwa Msemaji wao Mkuu akirejea kutoka huko Ziarani Dubai ( UAE ) ambako amepelekwa na hawa hawa anaojipendekeza Kwao leo hii.Kuna watu wanaishi kwa kupiga domo mjini
Tilapia nyingi wanazo...hapo kuna mtu anatafuta
Achomekwe azam apige domo maisha yaendele
Ova
Mbona mwehu wa siku nyingi tu,ana mkewe watasaidiana hukoMkuu sijampa kiki,nimeshauri asaidiwe
Je, ni kweli Mo alitaka aweke bichwa lake kwenye logo ya Simba? Maana hicho ni kituko , na ndio hoja ya msingi hapo kwenye bandiko lake, sasa asime?!View attachment 1893431
Ukiachwa achika
Vijembe anavyorusha kwa Mo Dewji na Simba Sc na bado hajibiwi vinaweza kumfanya huyu mtu akawa data na kuanza kuokota makopo. Hatua aliyofikia ni mbaya sana hakuna tofauti yeyote na mtu ambaye wehu ndo umeanza kuingia ingia, ameanza kutembea bila viatu amekushikilia suruali kiuoni haina mkanda.
Nawashauri wanasaikolojia na ndugu za karibu kumsadia. Hata wanaomtumia wajaribu kumuweka sawa kiakili kabla ya kumtumia. Kichaa haaminiki, muda wowote anaweza kukugeuka.
Marakifi wa kweli ni wale wanaoweza kumwambia rafiki ukweli wa kumsadia badala ya kumchekelea.
Imagine unaweza kumsingizia mtu uongo wa kiwango hiki. Achana na timu ya mpira, hata kampuni ya mfukoni tu ya mfanyabiashara aliyeanza biashara juzi hawezi kutengeneza logo yenye picha yake sembuse Mo Dewji.
Nataka kuamini Simba Sc imemtimua Haji Manara kwa sababu ya matatizo ya akili, lakini haikutaka kuweka wazi.
Basi achana nae kama hana anaegombana naeHaji anagombana na nani kwa akili yako
Leo tena karusha kijembe kingine kuhusu kuchanganya biashara na mapenzi...
Ww kama mfupi ukiitwa andunje utafurahi ingawa ndio maumbile yakoHivi kwanini huyu kiumbe ukimuita Zeruzeru unaonekana umemnyanyapaa?