Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,482
- 27,182
Ni kweli kabisa mkuu.. yani ualimu wa madrasa alivyouchukulia ni kama kufundisha kibao kata na wanayanga wengine watoto zao wamefundishwa na huyo manara lkn wanachekelea.. yanga ni bora zaidi kuliko hata imani za watu dah!Nimegundua uyanga una nguvu mno,hata ukisema yanga ni bora kuliko madrasa utapata sapoti ya wanajangwani wote bila kujali dini zao.
Kama ni hivyo ni kweli muro anaelimu kubwa anachozidiwa na manara ni huo ualimu tu wa madrasa ambao kwa anavyouchukulia hauna maana,na wafuasi wa yanga wako pamoja naye kwenye hilo
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa tatizo liko wapi hapa labda? Au ulitaka awe profesa wa chuo kikuu?
Mimi ni Muislamu namsapoti muro kwa 100%. Kumwambia manara akafundishe madrasa sio kosa, hata madrasa ni elimu ya dini. Manara akome kuwadhalilisha wachezaji na timu ya Yanga, kwa kisingizio cha utani wa jadi.Nimegundua uyanga una nguvu mno,hata ukisema yanga ni bora kuliko madrasa utapata sapoti ya wanajangwani wote bila kujali dini zao.
Kama ni hivyo ni kweli muro anaelimu kubwa anachozidiwa na manara ni huo ualimu tu wa madrasa ambao kwa anavyouchukulia hauna maana,na wafuasi wa yanga wako pamoja naye kwenye hilo
Sent using Jamii Forums mobile app
Manara akafundishe madrasa mambo ya mpira hakuna anachojua ni mbumbumbu anachojua ni kuitukana Yanga, wanayanga tunamuunga mkono muro 100%Ni kweli kabisa mkuu.. yani ualimu wa madrasa alivyouchukulia ni kama kufundisha kibao kata na wanayanga wengine watoto zao wamefundishwa na huyo manara lkn wanachekelea.. yanga ni bora zaidi kuliko hata imani za watu dah!
Yeah nikama shabiki wa kijiweni tuNa ndio sababu jana Nugaz akasema yote anayoyasema Muro si kwa niaba ya Timu ya Wananchi bali ni kwa mapenzi yake kama mwanachama na mpenzi wa timu ya Yanga.
Hebu niwache huko. 💃💃💃Ugomvi nitauamishia kwako mtani[emoji16]
Kwa kuufuatilia huu uzi na kuchangia umeshapoteza muda wako tayari.Ndiyo maana hata siwezi kupoteza muda kisa Jerry na Hajji, wote wanatafuta umaarufu kupitia Yanga na Simba
Utofauti wa manara na Jeri ni kua Manara anaendeleza utani wa Simba na yanga, ila Jeri yeye yupo kumu attack Manara has individual.Manara nimegundua ni kama CCM. Anataka kutukana wenzake na kuwaita majina yote mabaya ila yeye akiambiwa Ukweli anakimbilia jinai na kuomba msaada kwa watu wasioelewa. Angalau na sisi kwasiku hizi mbili tumepumzika kutokana na kejeli na kshfa za Manara. Muro karibu tena mjini.
Shida ya nyie Yanga mnataka mseme nyinyi wenyewe, Nani msemaji wa Yanga sio mlopokaji?Kaa chini utulie ulinganishe kauli zake na za wasemaji wa timu nyingine, msemaji weni ni mropokaji sana.
Utofauti wa manara na Jeri ni kua Manara anaendeleza utani wa Simba na yanga, ila Jeri yeye yupo kumu attack Manara has individual.
Uwezi mtu ambaye umemsaidia uanze kumsimanga kisa ulitoa mchango wako ili atibiwe,
Sidhani ka Manara angeumia ka Jeri angekua anaisema Simba .
Sent using Jamii Forums mobile app
Nasubiri wajibu hawa mbumbumbu! Wamepewa moja tu mikia yote na lopolopo wao wamepagawa! Jerry ni kiboko ya Haji tangu zamani
"Marison ni takakataka" By ManaraNijuavyo mm upo utani wa simba na yanga kama ilivyo desturi ya hizi timu lkn kitendo cha kumkashifu mtu eti "uliumwa ww, mm nimekutibia" huu si uungwana na hata kama kweli alitoa hizo hela. Mara "hunizidi chochote ww zaidi huo ualimu wa madrsasa" haya yote yanaingiaje? Yani jamaa hana itikeli kabisa kwa sie watu wa uswazi tunasema. 'How come' umsimange mtu kisa umempa mchango wako kipindi anaumwa! Ila jamaa ni mchaga wala sishangai desturi yao hawa watu inajulikana
Msemaji wenu ndio bingwa wa kuwasemea maneno ya hovyo wenzake individually.Shida ya nyie Yanga mnataka mseme nyinyi wenyewe, Nani msemaji wa Yanga sio mlopokaji?
Mi kulopoka kwa kuendeleza utani wa Simba na Yanga sioni shida, ila sio kumsema mtu individually
Sent using Jamii Forums mobile app