permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 11,682
- 14,241
Kwenye michango yako naona una visa na wachaga, kama ni mambo ya Jerry yaelezee bila ya kuyafunganisha na kabila lake, hii ni njia bora zaidi ya wewe kutoa mchango wako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila mkuu yule mchaga ana roho mbaya na wivu juu... kinachofanya mashabiki wa yanga mumpende kwa wkt huu ni kashfa zake juu ya manara ila muda utaongea pale jangwani juu ya ujio wake.. hana kauli nzuri hata kidogo, iweje aseme eti " kuanzia leo tutaanza kushinda kisa yeye karudi.. kwani hizo mechi nyingine mlizokuwa mnashinda ye alikwepo? Na hii kujiona ye ni bora kuliko viongozi wengine pale yanga. Nuksi tu wachaga mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app