Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,797
- 28,904
Haji bana..hivi kile kikosi ni cha bilioni 1.3 kweli?Tusaidie mipasho yake ni ipi ?..
Ushindi wa Timu ya mpira unaletwaje na msemaji wa klabu ?..
Kelele ni nini ?..
Zipi ni kelele ktk taarifa zake ?.