Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeye na ndoa disposable tu.Akiwa kwenye kwenye kipindi cha Leo Tena cha Cloudsfm, Haji Manara amesema kuwa hajawahi kufanya mapenzi nje ya Ndoa.
ANGALIA VIDEO HAPA
View attachment 2873453
Huyo ni mzee ni content creatorTatizo mnafuatilia sana maisha ya watu, na ndio maana wanawafanya mitaji...
Wakati umefika sasa watu mashabiki wake waone pia wanavyonyanduanaAkili zingine hizi ni shida.Afanye mpango wahojiwe na CNN.
Kabisa.Maana huu utandawazi hadi baadhi ya watu kupungukiwa hekima.Kila kitu wanaweka kwenye vyombo vya habari kama ndevu za kichaa.Wakati umefika sasa watu mashabiki wake waone pia wanavyonyanduana
Wakiwa ktandani
Ova
Mara sjui tunaanda birthday na mke wangu mara sherehe party ntakuwa na mke wangu watu mje mtuoneeeeKabisa.Maana huu utandawazi hadi baadhi ya watu kupungukiwa hekima.Kila kitu wanaweka kwenye vyombo vya habari kama ndevu za kichaa.
Huyo ni mzee ni content creator
Kutokuzini ni moja ya siri kubwa za kuupiga vita umasikini.Akiwa kwenye kwenye kipindi cha Leo Tena cha Cloudsfm, Haji Manara amesema kuwa hajawahi kufanya mapenzi nje ya Ndoa.
ANGALIA VIDEO HAPA
View attachment 2873453
Akiwa kwenye kwenye kipindi cha Leo Tena cha Cloudsfm, Haji Manara amesema kuwa hajawahi kufanya mapenzi nje ya Ndoa.
ANGALIA VIDEO HAPA
Ili iweje?Akili zingine hizi ni shida.Afanye mpango wahojiwe na CNN.
Aupashe ulimwengu ujinga wake.Ili iweje?
AlhamduliLlah, ni heri ya hayo kuliko kuzini.Yeye na ndoa disposable tu.
Anaoa na kuacha kila wakati