GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Yaani kabisa Baba yako Mzazi akiri EFM Radio na EA Radio kuwa Wewe ni mwana Simba SC kisha useme ni Yanga SC?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani Manara Tv yake haimlipi?100% ya wanayanga hawamkubali na hana uungwaji mkono kabisa ndani ya yanga, haji angefahamu angetulia zake simba, kinachomkwamisha ni tabu la rasa, yani kuzaliwa kariakoo anajiona mjanja, anashidwa kuelewa kuna watu wamezaliwa newyork, analeta ujanja wa kitoto sana, yule hua tunasema ana njaa sana , angekua vyema angeemdeleza miradi yake kuliko kogombana na akina kamwe
Nimecheka mpaka basi Mkuu.Hata ungekuwa wewe manara...simba ya sasa ungerudi kweli
Yule lopolopo inamlipaje sasa, hana thamani simba na hana thamani yanga hapo ndio kachanganyikiwa zaidiKwani Manara Tv yake haimlipi?
Siku hizi haendi tena Dubai kupiga mluzi / kubinua mchanga?Huyu jamaa atafute ajira zingine.
Hana hela sasa akija yanga atauza siri zetu wana yanga. Haaminiki kabisa. Bora arudi simba100% ya wanayanga hawamkubali na hana uungwaji mkono kabisa ndani ya yanga, haji angefahamu angetulia zake simba, kinachomkwamisha ni tabu la rasa, yani kuzaliwa kariakoo anajiona mjanja, anashidwa kuelewa kuna watu wamezaliwa newyork, analeta ujanja wa kitoto sana, yule hua tunasema ana njaa sana , angekua vyema angeemdeleza miradi yake kuliko kogombana na akina kamwe
Kuna malipo ya maana kwenye katv uchwara pale anapata hela ya sigara tuKwani Manara Tv yake haimlipi?
Jamaa wabongo sasa wanamemchoka kutukana wanasimba akiwa yanga kutukanana wanayanga akiwa simbaYaani kabisa Baba yako Mzazi akiri EFM Radio na EA Radio kuwa Wewe ni mwana Simba SC kisha useme ni Yanga SC?
Simba kwenyewe hata bure hawamtaki, yule hana uanaume wa kusimama, alipotoka simba aliwananga akijua ataungwa mkono yanga, mashabiki wa yanga wanamjua ni ndumila kuwiliHata ungekuwa wewe manara...simba ya sasa ungerudi kweli
Halafu Siku hizi anapungua sana. Namuonea mno Huruma Mkewe kwa Kuponzwa na Zamaradi kuingia hapo Danger Zone.Yule lopolopo inamlipaje sasa, hana thamani simba na hana thamani yanga hapo ndio kachanganyikiwa zaidi
Hatujamkataa Manara kwa sababu ya laana, tumemkataa Manara kwa tabia zake za kishenzi, hana heshima, uropokaji na kujifanya mjuwaji.Yaani kabisa Baba yako Mzazi akiri EFM Radio na EA Radio kuwa Wewe ni mwana Simba SC kisha useme ni Yanga SC?
Na Bangi zake na Ugoro anazopenda kununua pale Buguruni Malapa.Kuna malipo ya maana kwenye katv uchwara pale anapata hela ya sigara tu
Kuna highest voltage pale yule deni kaisha unganishwa sasa ni kula maharage kila sikuHalafu Siku hizi anapungua sana. Namuonea mno Huruma Mkewe kwa Kuponzwa na Zamaradi kuingia hapo Danger Zone.
Wamanyema toka zamani wao ni watu wakuchakata miili yaoHalafu Siku hizi anapungua sana. Namuonea mno Huruma Mkewe kwa Kuponzwa na Zamaradi kuingia hapo Danger Zone.
Na Sisi Simba SC hatumtaki bakini nae au kama vipi kamtupeni tu kabisa Baharini aliwe na Papa au Mto Malagarasi Mamba wajipatie Kitoweo Kinono.Hana hela sasa akija yanga atauza siri zetu wana yanga. Haaminiki kabisa. Bora arudi simba