Ghiti Milimo
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 4,748
- 7,061
Nakumbuka, Haji alivyoenda Yanga, Diamond alitangaza kumfuata, na kusema anaachana na Simba.Diamond Ni yanga simba alikua kibiashara kama Ali kiba ni yanga damu na simba yuko kibiashara, wasanii huangalia fedha, hapa tunaongelea lopolopo, diamond bila kulipwa mamilioni unadhani angemfuata haji?