Muache kutunyanyapaa wazee. Mnataka tukale waaapi?Huyu jamaa atafute ajira zingine.
Manara anajivunia Uzaramo kabila la mama yake, ndio mjuwe lilivyo kubwa jinga.Wamanyema toka zamani wao ni watu wakuchakata miili yao
Mkewe Juha mno yaani wanaomjua Mumewe alivyo Danger Zone Kitambo sana walimuonya Yeye akaamua kumsikiliza Shoga yake na Mnafiki Zamaradi. Sasa acha yamkute na hili liwe Fundisho kwa wengine kuwa mkionywa kuhusu Watu wengine ambao ni Danger Zone muwe mnaamini na mnawasikiliza.Kuna highest voltage pale yule deni kaisha unganishwa sasa ni kula maharage kila siku
USSR
Mkuu, sio kweli! Diamond alimfuata huko!Haji simba alitoka peke yake na hakuna shabiki aliemfuata
Aliondoka.Kwani Haji huko Simba aliacha au alifukuzwa?
Barbara alimtolea uvivu, na Barbara ni mtu wa Mo Dewji, mpaka nauli za kusafiri aliachwa ajilipie mwenyewe.Kwani Haji huko Simba aliacha au alifukuzwa?
Diamond Ni yanga simba alikua kibiashara kama Ali kiba ni yanga damu na simba yuko kibiashara, wasanii huangalia fedha, hapa tunaongelea lopolopo, diamond bila kulipwa mamilioni unadhani angemfuata haji?Mkuu, sio kweli! Diamond alimfuata huko!
Wasanii wanaangalia upepo tu, hata Ally Kiba yupo Simba amemfuata nani?Mkuu, sio kweli! Diamond alimfuata huko!
ππππYule lopolopo inamlipaje sasa, hana thamani simba na hana thamani yanga hapo ndio kachanganyikiwa zaidi
Hahahaha ana familia kubwa ya kutunza wake kibao in additional kwa walio halali so hana hela akija simba lazima auze siri kwa yanga na akija yanga ni the same so ninyi ni mtu wenu wana simba mpokeeni hata awe anafua nguo za wachezajiNa Sisi Simba SC hatumtaki bakini nae au kama vipi kamtupeni tu kabisa Baharini aliwe na Papa au Mto Malagarasi Mamba wajipatie Kitoweo Kinono.
Simba kwenyewe hawamtaki, anatumia mbinu za miaka ya 90 kuhamasisha mpira, anajenga uadui baina ya mashabiki muda wote kutukana, hajatulia kiakili hatumtakiHana hela sasa akija yanga atauza siri zetu wana yanga. Haaminiki kabisa. Bora arudi simba
Ukikutana nae muulize GENTAMYCINE naomba kujua Siku hizi haendi tena Dubenga ( Dubai ) kupiga mluzi / kubinua mchanga kama kawaida yake?Shida sio yeye
Nmegundua hilo sasa sijui nanyie mnaa unga mkono hoja
Kama akitaka arejee Simba SC tutampa Sharti Kubwa moja tu la kumtaka apime Afya na hasa hasa HIV / Danger Zone.Simba kwenyewe hawamtaki, anatumia mbinu za miaka ya 90 kuhamasisha mpira, anajenga uadui baina ya mashabiki muda wote kutukana, hajatulia kiakili hatumtaki
Anapenda waarabu, naye hujiona muarabu haji banaUkikutana nae muulize GENTAMYCINE naomba kujua Siku hizi haendi tena Dubenga ( Dubai ) kupiga mluzi / kubinua mchanga kama kawaida yake?
Hawezi kupima, labda aendelee kutafuna mrungi ndio kazi anayowezaKama akitaka arejee Simba SC tutampa Sharti Kubwa moja tu la kumtaka apime Afya na hasa hasa HIV / Danger Zone.
NashangaaaKwani Manara Tv yake haimlipi?
Na najua haipendi mno hii ID kwani kuna Siku katika Press Conference alimhisi Mwandishi wa Mwanaspoti kuwa ndiyo Mimi na hata Kumtukana na kutaka Kumpiga. Na bahati nzuri hajui kuwa GENTAMYCINE kwa nature ya Tasnia yangu, Maarifa mapana, Usomi wangu, Ujanja wangu, Umakini na kuwa na Marafiki wengi wa kila Sekta na Idara ( huku wengi ) wakiwa ni Marafiki zake Wakubwa na karibu kila Siku anakuwa nao ndiko kunanifanya nimjue zaidi na Kiundani kuliko anavyonijua Yeye. Tena Haji Manara anasoma sana Mada hapa JamiiForums na tupo nae 24/7 kama Jerry Muro ambaye tupo nae na hata ID yake naiona ile pale imejaa tele ila anachangia ki neutral neutral sana.ππππ
Kama Haji yumo humu na anasoma haya mashambulizi,
Anaweza kuchimba shimo kisha akajifukia.
Ningeshangaa yaani kabisa Danger Zone akubali Kupima?Hawezi kupima, labda aendelee kutafuna mrungi ndio kazi anayoweza