Mayai vinza?Huyu dawa yake ni kumwagia mayai vinza mixer kinyesi. Maana ana maneno ya kuudhi sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mayai vinza?Huyu dawa yake ni kumwagia mayai vinza mixer kinyesi. Maana ana maneno ya kuudhi sana.
Nani amnyanyapae. Labda mashabiki wa yangahuyu kijana....hivi watu wakianza kumnyanyapaa na ile hali yake atalalamika anaonewa?
huyu kijana....hivi watu wakianza kumnyanyapaa na ile hali yake atalalamika anaonewa?
Mayai yaliooza.
Kauli za kibaguzi hiziHuyu Sope ni chizi kuliko masope wote nchini
Wew nae usiwekama mtoto mdogoKwani kamtaja nani takataka hapo..ama ni uzwazwa wenu? Kuna mahali kataja mtu hapo kuwa ni takataka?
Zeluzelu jaza hapo kwenye nafasi/ulipoacha waziNi ajabu sana huyu jamaa anakuwa kama shabiki maandazi ww ni msemaji semea timu yako kitendo cha kumuita Morrison takataka ni kitendo kichafu sasa cjui ww wakikuita........ Utajisikiaje
Huyo hajitambui huyo ana vurugu za mawazo, watu wa saikolojia wanajua.Ni ajabu sana huyu jamaa anakuwa kama shabiki maandazi ww ni msemaji semea timu yako kitendo cha kumuita Morrison takataka ni kitendo kichafu sasa cjui ww wakikuita........ Utajisikiaje
Captain wa timu huyo buana???Tuache ushabiki
Huyu mpuuzi kazidi, huwezi kumuita binadamu mwenzio takataka
View attachment 1337630
kwahiyo mimi ni mjinga?hivi kukaa nyuma ya kibaobonye na kuanza kutoa lugha chafu kwa watu usiowajua huogopi?jiangalie sana bwana mdogo.....tatizo hii mitandao mumechelewa sana kuijua ndio maana,ila wewe nitakuonesha mfano ili utoe ushuhuda kwa wengine........
Zeruzeru ana matatizo ya akiliNi ajabu sana huyu jamaa anakuwa kama shabiki maandazi ww ni msemaji semea timu yako kitendo cha kumuita Morrison takataka ni kitendo kichafu sasa cjui ww wakikuita........ Utajisikiaje
Niondoleeni takataka anamaanisha mumuindolee maneno ya kipuuzi mbona mnajitia upofuTuache ushabiki
Huyu mpuuzi kazidi, huwezi kumuita binadamu mwenzio takataka
View attachment 1337630
Since hivyo tu...huyu jamaa Kama kiongozi ana maneno ya ovyo mno...hafai kuwa kiongozi kabisa...ana maneno ya dharau na udhalilishaji kwa timu pinzani utadhani ni mshabiki wa mitaani wakati yeye ni kiongozi. Upo wakati aliwahi kusema yanga ni sawa na mgonjwa ambaye daktari ampige sindano mgonjwa sehemu ipi ya mwili angekuwa ni huko ulaya angekuwa amishafungiwa tayari.Ni ajabu sana huyu jamaa anakuwa kama shabiki maandazi ww ni msemaji semea timu yako kitendo cha kumuita Morrison takataka ni kitendo kichafu sasa cjui ww wakikuita........ Utajisikiaje