Haji Manara jitathimini kuwaita wenzako takataka

Haji Manara jitathimini kuwaita wenzako takataka

Manara anawajulia vyura balaaa kwa kauli hiiii watajipukuta mwezi mzima ndio wanapoa.
 
Ila tuseme ukweli hivi Manara nadhani ana ubongo nusu Morrison ametembea nchi ambazo huyo mgonjwa hatafika mara nyingi mwizi hupenda kujilinda anaposema amesoma kasoma chuo gani kama si ujanjaujanja tu Hili jitu wanalitukana kila aina ya matusi lakini halikomi
 
Mo wewe ni mfanyabiashara hujui huyu kuwa anakuhariba biashara au kwa anakulamba miguu yako
 
Hivi timu ya Yanga ilikumbwa na Hamida nini?
Wao kila wakisemwa wao lazima wagalegale kulalama, mnapowasema wenzenu muwe tayri na nyie kusemwa.
Mmesikia nyie Hamida Fc

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom