Haji Manara jitathimini kuwaita wenzako takataka

Ni ajabu sana huyu jamaa anakuwa kama shabiki maandazi ww ni msemaji semea timu yako kitendo cha kumuita Morrison takataka ni kitendo kichafu sasa cjui ww wakikuita........ Utajisikiaje
Ni takataka tu anayeweza kutambua taka taka mwenzake. Huyu jamaa mnafahamu fika kuwa siyo wa kawaida na hivyo mnapaswa kumsamehe tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…