Haji Manara kulipwa mshahara laki 7 ni aibu na unyonyaji, arekebishiwe

Haji Manara kulipwa mshahara laki 7 ni aibu na unyonyaji, arekebishiwe

binafsi mimi ni Yanga.....ila Manara anamchango mkubwa sana hasa kwenye issue nzima ya derby anahamasisha sana huyu mzee, anamapungufu yake lakini kazi anayofanya ni kubwa kwakweli......he deserve more
 
View attachment 1863294
Sote tunaujua mchango wa manara katika soka letu la hapa nchini.

Ni mtu mwenye taaluma na kipaji cha aina yake kinachofanya simba ipige hatua hasa linapokuja swala la kuhudhuria michezo uwanjani, kunogesha ushabiki, kuchangamsha derby, n.k.

Hat simba inapocheza wengi huwa wanafatilia manara kasema nini wenye press confrence, mitandao ya jamii, n.k. wengine hata page za simba hawafatilii wao wanafata page ya manara wa updates zote za simba

Sasa kweli mtu kama huyu analipwaje laki 7 aisee, hizi ni zaidi ya dharau kwakeli,

Binafsi nilijua uwepo wa bosi wake muhindi utafanya asilipwe kulingana thamani yake, nilidhani huenda analipwa walau milioni 2 kinyonyaji maana ukisema umlipe manara kwa stahiki yake halisi basi andaa hata milioi 6 tena hapo ni kizalendo tu, Ila hii ya laki 7 kiukweli ni aibu, fedheha na dharau kabisa, mnyonge mnongeni lakini haki yae mpeni, laki 7 kwa manara ni takataka.
Tupe cv ya Haji Manara! Mtu halipwi kwa wingi wa maneno bali kwa kuzingatia taaluma yake. Hizo laki saba ni nyingi sana kwa kazi ya kubwabwaja! Kwanza mzee anabwabwaja kumzidi Manara!! Kama vipi aondoke tumchukue mzee Mpili!
 
Basi ni halali kwa Haji kuendelea Kuwa balozi wa Bidhaa za GSM, Azam Bakhresa, na Asasi ili kipato chake kiendane na status aliyonayo, ila hii kibiashara haijakaa sawa kwa Bosi wake Mo dewji
 
Uto Kama uto kipigo kipo pale pale 25 lake Tanganyika naisubiri treni hapa inyonga manara anapokea bonus kila wiki laki 5 na posho mwisho wa mwezi laki 7 Sasa ukipiga hesabu kwa mwezi anakunja zaidi 2.7
 
Basi ni halali kwa Haji kuendelea Kuwa balozi wa Bidhaa za GSM, Azam Bakhresa, na Asasi ili kipato chake kiendane na status aliyonayo, ila hii kibiashara haijakaa sawa kwa Bosi wake Mo dewji
Muulize kwa nini hataki kusaini mkataba wa m4
 
Muulize kwa nini hataki kusaini mkataba wa m4
Kwa akili yako ya kawaida Kwa ukubwa wa Brand ya Manara ana thamani ya kulipwa milioni 4,Ushawahi kujiuliza ktk maadili ya ubalozi wake kule GSM, Azam na ASAS kwa mwezi anaingiza kiasi, it's a lot of money mkuu kuzidi hilo dili la milioni 4
 
namuonea huruma Manara, ila kuna kitu anatakiwa ajifunze anatakiwa awe na subra akiwa na hasira.

kukurupuka kwake kutamcost
 
Back
Top Bottom