Haji Manara: Mimi bado ni Msemaji wa Yanga, Hukumu ilikuwa ni ya kuchafua brand yangu, adai Rais Karia alitoa maneno machafu

Haji Manara: Mimi bado ni Msemaji wa Yanga, Hukumu ilikuwa ni ya kuchafua brand yangu, adai Rais Karia alitoa maneno machafu

Si akate rufaa tu.Najiuliza hivi kwenye kamati ya maadili hakupewa nafasi ya kujitetea au kamati hiyo hufanya maamuzi kutokana na maelezo ya mlalamikaji tu bila kumsikiliza mlalamikiwa? Na jee kamati ya maadili ndiyo yenye uamuzi wa mwisho? Hakuna ngazi ya rufaa dhidi ya maamuzi ya kamati ya maadili?
Ile kamati inateuliwa na Karia. Sasa hapo unategemea nini ?
 
Manara: Sikuwa nataka baada ya kusomwa hukumu ile niseme lolote wala sio kawaida yangu lakini kwakuwa hukumu ile ilikuwa na mambo mengi ya kuchafua jina langu, kuharibu reputation na image yangu lakini ya kuififisha brand yangu ambayo nimeijenga kwa jasho jingi na kwa miaka mingi.

INAENDELEA...

Manara: Kwanza niwaeleze exacly nini kilitokea, nilikuwa nimekifumba wakati ule kwa nia tu kumaliza jambo lile kiungwana, kwa nia ya kujishusha ili mambo yamalizike katika mambo ya kiungwana.

Nilikuwepo mpirani kwenye mechi ile ya fainali, tulitangulia kufungwa goli na Coastal union na nilikaa katika eneo la wageni. Half time kama wengi mnanifahamu, mechi huwa siangalii dakika 90 nyingi tena zile ambazo bahati mbaya tunatangulia kufungwa, presha iko juu.

Half time nimeshawaambia vijana tushuke tuondoke, presha ilikuwa ishapanda.

========

Manara amedai akiwa anandoka uwanjani, mkuu wa mkoa wa Arusha, John Mongella alimuita na akiwa anaongea naye, Rais wa TFF aliongea kwa ukali aondoke eneo hilo akidai amekufa mtu, Manara anasema mwili wa Wallace Karia ulikwa umeelekea kwa viongozi wa coastal union huku kidole kimeenda kwa Manara.

Manara anasema mkuu wa mkoa na viongozi wengine wakamtoa akaondoka lakini baadae akamfata alipo ndipo na yeye akapandisha.

Manara: Ilikuwa ni tukio baya sana lakini Mungu alinipa subra sikumjibu jibu lolote baya, baadae nikaondoka nikarudi, penati niliangalia nikiwa chumbani.. Tulipopata penati ya mwisho nikachukua gari nikarudi uwanjani, hoteli niliyofikia ilikuwa dakika tano.

Manara anadai Karia alimtaka akamuombe msamaha nyumbani kwake, wapige picha na azungumze na waandishi wa habari. Manara amesema picha aliyoweka mtandaoni ilipigwa na mtoto wa Karia.

Manara anadai Karia alimwambia maneno ambayo yeye Manara kinywa chake kuyatamka ni aibu. Alitamka kwamba watu wa Yanga wamepambana sana mechi ilikuwa ngumu kwenye nguo zao za ndani zina kinyesi.
Huyo mbwakoko aongezewe adhabu, afungiwe maisha.
 
Aliyemdanganya aitishe press ya kuomba radhi(akajikuta amekiri makosa bila kujua), ndiye huyohuyo kamshauri aitishe press kuropoka huu upumbavu wake.

Wewe inalilia brand yako, ilhali kuna wakati unaijenge kuna watu wameharibikiwa brand zako kupitia domo lako, ni kipi kinakupa uhalali wa kuharibu vya watu kisha vyako viheshimiwe, ngozi yako au?😄
 
Aliyemdanganya aitishe press ya kuomba radhi( akajikuta amekiri makosa bila kujua), ndiye huyohuyo kamshauri aitishe press kuropoka huu upumbavu wake.

Wewe inalilia brand yako, ilhali kuna wakati unaijenge kuna watu wameharibikiwa brand zako kupitia domo lako, ni kipi kinakupa uhalali wa kuharibu vya watu kisha vyako viheshimiwe, ngozi yako au?[emoji1]
Toka awe mchepoz wa Boss ndo kawehukwaa mara dufu, mweeeh.
Hadi tabuuu. Khaaaah.
 
Inasikitisha sana yani kurugenzi yote ya pale Yanga ina maana ilishindwa namna ya kumuandaa kwa hoja ambazo rational yeyote atakuwa conviced?

Tangu afungiwe inakaribia almost wiki lakini mchizi kashindwa kuzitumia hizo siku kupangilia hoja

Hii press ameifanya kihisia na ndio maana katumia makosa mengi ya logic

Kutaka kufifisha kosa lako kuonekana sio kosa kwa kuonesha kosa lilofanywa na mwingine hiyo ni Ignorantio Elench

Huwezi ukasema hupaswi kulipa faini kwa kuendesha gari hovyo eti kwasababu tu kuna watu wengi mtaani wahalifu na wabakaji ambao polisi ilipaswa kudili nao na sio kuhangaika na wewe ambaye unalipa kodi
 
Manara: Sikuwa nataka baada ya kusomwa hukumu ile niseme lolote wala sio kawaida yangu lakini kwakuwa hukumu ile ilikuwa na mambo mengi ya kuchafua jina langu, kuharibu reputation na image yangu lakini ya kuififisha brand yangu ambayo nimeijenga kwa jasho jingi na kwa miaka mingi.

INAENDELEA...

Manara: Kwanza niwaeleze exacly nini kilitokea, nilikuwa nimekifumba wakati ule kwa nia tu kumaliza jambo lile kiungwana, kwa nia ya kujishusha ili mambo yamalizike katika mambo ya kiungwana.

Nilikuwepo mpirani kwenye mechi ile ya fainali, tulitangulia kufungwa goli na Coastal union na nilikaa katika eneo la wageni. Half time kama wengi mnanifahamu, mechi huwa siangalii dakika 90 nyingi tena zile ambazo bahati mbaya tunatangulia kufungwa, presha iko juu.

Half time nimeshawaambia vijana tushuke tuondoke, presha ilikuwa ishapanda.

========

Manara amedai akiwa anandoka uwanjani, mkuu wa mkoa wa Arusha, John Mongella alimuita na akiwa anaongea naye, Rais wa TFF aliongea kwa ukali aondoke eneo hilo akidai amekufa mtu, Manara anasema mwili wa Wallace Karia ulikwa umeelekea kwa viongozi wa coastal union huku kidole kimeenda kwa Manara.

Manara anasema mkuu wa mkoa na viongozi wengine wakamtoa akaondoka lakini baadae akamfata alipo ndipo na yeye akapandisha.

Manara: Ilikuwa ni tukio baya sana lakini Mungu alinipa subra sikumjibu jibu lolote baya, baadae nikaondoka nikarudi, penati niliangalia nikiwa chumbani.. Tulipopata penati ya mwisho nikachukua gari nikarudi uwanjani, hoteli niliyofikia ilikuwa dakika tano.

Manara anadai Karia alimtaka akamuombe msamaha nyumbani kwake, wapige picha na azungumze na waandishi wa habari. Manara amesema picha aliyoweka mtandaoni ilipigwa na mtoto wa Karia.

Manara anadai Karia alimwambia maneno ambayo yeye Manara kinywa chake kuyatamka ni aibu. Alitamka kwamba watu wa Yanga wamepambana sana mechi ilikuwa ngumu kwenye nguo zao za ndani zina kinyesi.
Mbona yeye kachafua sana watu ila wamempuuza tu
Kamchafua sana Mo na anaona sawa tu
 
Back
Top Bottom