Ile kamati inateuliwa na Karia. Sasa hapo unategemea nini ?Si akate rufaa tu.Najiuliza hivi kwenye kamati ya maadili hakupewa nafasi ya kujitetea au kamati hiyo hufanya maamuzi kutokana na maelezo ya mlalamikaji tu bila kumsikiliza mlalamikiwa? Na jee kamati ya maadili ndiyo yenye uamuzi wa mwisho? Hakuna ngazi ya rufaa dhidi ya maamuzi ya kamati ya maadili?
Maalbino wachokozi sanaWasomali wana roho mbaya.
Hukumu yake haikatiwi rufaa? Mimi sijui katiba ya TFF.Ile kamati inateuliwa na Karia. Sasa hapo unategemea nini ?
Huyo mbwakoko aongezewe adhabu, afungiwe maisha.Manara: Sikuwa nataka baada ya kusomwa hukumu ile niseme lolote wala sio kawaida yangu lakini kwakuwa hukumu ile ilikuwa na mambo mengi ya kuchafua jina langu, kuharibu reputation na image yangu lakini ya kuififisha brand yangu ambayo nimeijenga kwa jasho jingi na kwa miaka mingi.
INAENDELEA...
Manara: Kwanza niwaeleze exacly nini kilitokea, nilikuwa nimekifumba wakati ule kwa nia tu kumaliza jambo lile kiungwana, kwa nia ya kujishusha ili mambo yamalizike katika mambo ya kiungwana.
Nilikuwepo mpirani kwenye mechi ile ya fainali, tulitangulia kufungwa goli na Coastal union na nilikaa katika eneo la wageni. Half time kama wengi mnanifahamu, mechi huwa siangalii dakika 90 nyingi tena zile ambazo bahati mbaya tunatangulia kufungwa, presha iko juu.
Half time nimeshawaambia vijana tushuke tuondoke, presha ilikuwa ishapanda.
========
Manara amedai akiwa anandoka uwanjani, mkuu wa mkoa wa Arusha, John Mongella alimuita na akiwa anaongea naye, Rais wa TFF aliongea kwa ukali aondoke eneo hilo akidai amekufa mtu, Manara anasema mwili wa Wallace Karia ulikwa umeelekea kwa viongozi wa coastal union huku kidole kimeenda kwa Manara.
Manara anasema mkuu wa mkoa na viongozi wengine wakamtoa akaondoka lakini baadae akamfata alipo ndipo na yeye akapandisha.
Manara: Ilikuwa ni tukio baya sana lakini Mungu alinipa subra sikumjibu jibu lolote baya, baadae nikaondoka nikarudi, penati niliangalia nikiwa chumbani.. Tulipopata penati ya mwisho nikachukua gari nikarudi uwanjani, hoteli niliyofikia ilikuwa dakika tano.
Manara anadai Karia alimtaka akamuombe msamaha nyumbani kwake, wapige picha na azungumze na waandishi wa habari. Manara amesema picha aliyoweka mtandaoni ilipigwa na mtoto wa Karia.
Manara anadai Karia alimwambia maneno ambayo yeye Manara kinywa chake kuyatamka ni aibu. Alitamka kwamba watu wa Yanga wamepambana sana mechi ilikuwa ngumu kwenye nguo zao za ndani zina kinyesi.
Utakuwa unaabudu mizimu siyo Mungu aliye hai.Mbona ye kachafua brand nyingi za watu na hakuna siku tumeona watu wameitisha press?
Toka awe mchepoz wa Boss ndo kawehukwaa mara dufu, mweeeh.Aliyemdanganya aitishe press ya kuomba radhi( akajikuta amekiri makosa bila kujua), ndiye huyohuyo kamshauri aitishe press kuropoka huu upumbavu wake.
Wewe inalilia brand yako, ilhali kuna wakati unaijenge kuna watu wameharibikiwa brand zako kupitia domo lako, ni kipi kinakupa uhalali wa kuharibu vya watu kisha vyako viheshimiwe, ngozi yako au?[emoji1]
Habari zao wapeleke chumbani huko sasa, huku nje tunafata sheria.Toka awe mchepoz wa Boss ndo kawehukwaa mara dufu, mweeeh.
Hadi tabuuu. Khaaaah.
Soka litaendeleaje wakati kuna Wajinga kina MANARATFF ni aibu tupu ndio maana soccer haiendelei, hope kuna namna ya kukatia rufaa huu upuuzi wa TFF.
Sasa kubweka si ni jadi ya mbwa!!!??Alisema yuko tayari kwa maamuzi yoyote yatakayofikiwa na kamati sasa mbona kutwa anabweka.
Mbona yeye kachafua sana watu ila wamempuuza tuManara: Sikuwa nataka baada ya kusomwa hukumu ile niseme lolote wala sio kawaida yangu lakini kwakuwa hukumu ile ilikuwa na mambo mengi ya kuchafua jina langu, kuharibu reputation na image yangu lakini ya kuififisha brand yangu ambayo nimeijenga kwa jasho jingi na kwa miaka mingi.
INAENDELEA...
Manara: Kwanza niwaeleze exacly nini kilitokea, nilikuwa nimekifumba wakati ule kwa nia tu kumaliza jambo lile kiungwana, kwa nia ya kujishusha ili mambo yamalizike katika mambo ya kiungwana.
Nilikuwepo mpirani kwenye mechi ile ya fainali, tulitangulia kufungwa goli na Coastal union na nilikaa katika eneo la wageni. Half time kama wengi mnanifahamu, mechi huwa siangalii dakika 90 nyingi tena zile ambazo bahati mbaya tunatangulia kufungwa, presha iko juu.
Half time nimeshawaambia vijana tushuke tuondoke, presha ilikuwa ishapanda.
========
Manara amedai akiwa anandoka uwanjani, mkuu wa mkoa wa Arusha, John Mongella alimuita na akiwa anaongea naye, Rais wa TFF aliongea kwa ukali aondoke eneo hilo akidai amekufa mtu, Manara anasema mwili wa Wallace Karia ulikwa umeelekea kwa viongozi wa coastal union huku kidole kimeenda kwa Manara.
Manara anasema mkuu wa mkoa na viongozi wengine wakamtoa akaondoka lakini baadae akamfata alipo ndipo na yeye akapandisha.
Manara: Ilikuwa ni tukio baya sana lakini Mungu alinipa subra sikumjibu jibu lolote baya, baadae nikaondoka nikarudi, penati niliangalia nikiwa chumbani.. Tulipopata penati ya mwisho nikachukua gari nikarudi uwanjani, hoteli niliyofikia ilikuwa dakika tano.
Manara anadai Karia alimtaka akamuombe msamaha nyumbani kwake, wapige picha na azungumze na waandishi wa habari. Manara amesema picha aliyoweka mtandaoni ilipigwa na mtoto wa Karia.
Manara anadai Karia alimwambia maneno ambayo yeye Manara kinywa chake kuyatamka ni aibu. Alitamka kwamba watu wa Yanga wamepambana sana mechi ilikuwa ngumu kwenye nguo zao za ndani zina kinyesi.
wana roho mbaya sana tena.Wasomali wana roho mbaya.
Yaani anajenga brand yake kwa kuharibu za Wengine, huyu jamaa Ni hatari kwenye soka letu, afungiwe maisha kabisa😎Teh teh et brand, anajenga juu ya kuharibu wengine, TFF adhabu ni ndogo sana.
Duh kumbe tajiri kubwa inaula huu ubwabwa!!!!!Toka awe mchepoz wa Boss ndo kawehukwaa mara dufu, mweeeh.
Hadi tabuuu. Khaaaah.