Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,669
- 8,268
Naona Leo Haji Amewachanganya Sana [emoji3][emoji3][emoji3]Inawezekana akawa na hoja za msingi lakini kiweledi bwana Haji Manara amekosea pakubwa sana....lakini tukirudi kwenye uhalisia umma wa waTanzania hautaki weledi bali ni kucheza na matukio na mihemko......
Bwana Haji Manara ameifikisha kama ambavyo umma wa waTanzania ulivyotegemea afikishe.....
Uswahili uswahili na udaku ndio vinavyompa kula bwana Manara......na jambo zuri ni kwamba anajua sana kucheza na akili za waTanzania.....anajua waTanzania wanapenda nini na kwa wakati gani......
Katika hili Manara amezichanga karata zake vyema.......
Totally unprofessional from Manara. Mimi sikuwahi kuwa mfuasi wake tokea akiwa Simba.
Ukiachilia tu sifa yake kubwa ya uhamasishaji Manara hafai kupewa nafasi ya maana sehemu yoyote maana ni mropokaji/msema hovyo.
Hata kama ukiachana na mwajiri wako kwa ubaya kwa mtu anaejitambua huwezi kuenda kumchafua sehemu hasa kwenye media.
Hii itakufanya kutoaminika hata na huyo anaetaka kukuajiri maana atajua tu kuwa siku mkishindwana nae utaenda kumchafua tu. Manara na wanaomtumia wote akili zao finyu sana. Hawana upeo mzuri wa kufikiri.
Kwanza jamaa ni mvumilivu sana!!miaka sita unafanya kazi bila mkataba, halafu ukijitokeza mbele ya watu una kuwa na furaha kiasi kile??huku timu iko vizuri kiuchumi?!!mibonasi wanapewa wengine tu!!inawezekana manara ni msema hovyo lakini kwenye hili hapana ametoa majibu ya hoja zilizitolewa na Mo, Hans pop!!kosa lake ni nini?!!na kwasasa manara wala hawezi kukosa kazi hapa nchini, leo hata akiamua anze kazi ASAS, ama AZAM, anafanya.Ni ngumu kuaminika na watu wanaojielewa. Kwasababu watakuwa tayari wameshamsoma kuwa sio mvumilivu na ni msema hovyo.
Hicho alichokifanya Haji kilitarajiwa na wengi ilikuwa inangojewa muda tu......na haya ni mambo ya kawaida kwenye maisha....Naona Leo Haji Amewachanganya Sana [emoji3][emoji3][emoji3]
Eeh ndio mambo ya mtandaoni mleSana mkuu ngoja nikomae na life langu yawezekana life yàngu ni afadhari pia kuliko ya watu wa insta sasa haji anapokea mshahara sawa na boom la mtoto wa chuo analopokea kila baada ya siku 60?
Yaani.Hata wafanyakazi wao wa ndani wanawatreat vibaya sana yaani.Hata siku moja mwanadada victoire usimuamini muhindi, kuna sehem moja hivi jina nahifadhi, masharti ya kufanya kazi kwa huyo mhindi unatakiwa usiwe unabadilisha nguo kila ukija kazini, na uvae makobasi, hata kama una gari hauruhusiwi kuja nalo, kifupi uonekane wa hovyo, hata kama wewe ni mhasibu..those are indians..
Hajatukana wacha ukweli usemwe.... Sisi ni washabiki wa simba tulitaka sana kujua nini hasa mpaka kaleft!!! Na jamaa kaipambania simba sana... Ukweli na usemweHuyu Haji na waliomtuma ni hovyo sana, na kajichanganya sana.
Kashashindwa. Simba sct msimjibu. Mwacheni abwabwaje mpaka aridhike na roho yake. Hana Nia njema na Simba na anaombea ipate mabalaa. Eti anaongea na mashabiki!
Azam nao kumbe ovyo sana kumtuma huyo ili kutangaza TV yao ndo nn sasa. Simba achaneni na Azam, ukimsoma vizuri manara kila mara Azam tv ndo waliomtuma kutukana live!
Serikali kwa nn mtu huyu atukane muwekezaji tena live kabisa?
Ha haa hadithi ya upande mmoja. Waswahili tunasema 'msema pweke hakosei'.Una Amin maneno ya huyo domokaya?
Imagine kuna mechi alikatazwa kukaa jukwaani. Halafu akija instagram anajisifu balaa kumbe usiku kucha kalia kalazwa sebuleni hajabukiwa chumba na kina Barbara. 🤣🤣Yan ulichoandika ndio funzo nililopata insta inadanganya nilitaka nianze kuiba ili ni meet life kama ya watu wa nsta kumbe fake fake fake wanashida kama zangu
Natamani angeandika kitabu kuliko kutoa stori za kwenye tv.Inawezekana akawa na hoja za msingi lakini kiweledi bwana Haji Manara amekosea pakubwa sana....lakini tukirudi kwenye uhalisia umma wa waTanzania hautaki weledi bali ni kucheza na matukio na mihemko......
Bwana Haji Manara ameifikisha kama ambavyo umma wa waTanzania ulivyotegemea afikishe.....
Uswahili uswahili na udaku ndio vinavyompa kula bwana Manara......na jambo zuri ni kwamba anajua sana kucheza na akili za waTanzania.....anajua waTanzania wanapenda nini na kwa wakati gani......
Katika hili Manara amezichanga karata zake vyema.......
Azam wamenuna kisa Simba wamekataa dili laoKwa Haji hakuna jipya amejaa porojo. Kinachoshangaza ni Exclusive coverage ya Azam
Haji noma, jamaa anajiamini sana.
daimond kampost positively ni kwasababu haji amekua mpambe wake kwa kipindi kirefu, kuanzia sakata la BET haji alimkingia kifua kua tampigia kura utafikiri kana access na bodi ya BETHiyo post ya Mondi huko Insta imethibitisha kabisa kwa 90% anayosema Manara yana ukweli ndani yake
Mjinga wewe huna akili ,Tena kama hujui kitu kaa kimya kabisa, jaribu kuwauliza wafanyakazi wote waliowahi kufanya kazi kwenye kampuni za mohamedi enterprises, watakwambia!!ni shida tu, hadi mwaka jana serikali ya india ilitoa tahadhari wa wafanyakazi wa kihindi wanaokuja kufanya kazi hapo!!kwani haji bila leo kutoa malalamiko hayo uliyajua?hapa tujadili hoja na sio kumshambulia mtoa hoja!!waulize madreva wanaofanya kazi kwa Mo, wafanyakazi kwenye viwanda vyake, ni aibu!!
Big YeeessHapana ugomvi wa mo na wa haji ni wakibiashara zaidi hauna uhusiano na club yetu sisi ni soka tu
Umaarufu wa Haji ulikuwa unamnyima usingiziSasa MWAMED umaarufu wa HAJJ unampunguzia nini yeye HAJJ Hana hata kiwanda umemzidi kila kitu lakini unamuonea wivu
...kweli tajiri hapendi masikini apate unafuu wa maisha .....