mwarabu feki
JF-Expert Member
- Feb 16, 2023
- 811
- 1,811
Kumbe Mzee magoma alikuwa sawa, kuna watu ndio wamejipa umiliki wa timu yetu, wanaamua vyenye wanapenda wao.
Hyu manara baada ya kufukuzwa huko Simba ndio alikuja Yanga na leo anajifanya anaijua sana Yanga.
Kama GSM wanampenda sana huyu mtu si wampe u CEO wa Kampuni yao(GSM)?
Popote pale ulipo Mwananchi acha kununua jezi mpya paka Manara aondoshwe mara moja..
#Manara out#
Hyu manara baada ya kufukuzwa huko Simba ndio alikuja Yanga na leo anajifanya anaijua sana Yanga.
Kama GSM wanampenda sana huyu mtu si wampe u CEO wa Kampuni yao(GSM)?
Popote pale ulipo Mwananchi acha kununua jezi mpya paka Manara aondoshwe mara moja..
#Manara out#