G4rpolitics
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 4,369
- 5,248
Mbona inafahamika Jerry ni.....Siri hakuna hapa duniani.
Kwani kuwa mwalimu wa madrasa ni dhambi?Kwenye hili Haji amechemsha amemshambulia sana mwenzie wakati JM hakuwa na nia mbaya kama anavyotaka kuuaminisha umma kwamba DC amemdhihaki
Haji jikite kwenye mambo ya michezo tu achana na person attack na unachanganya cheo cha mtu na ushabiki
Ongea na JM sio DC tofautisha cheo na ushabiki wa timu
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh Lahaula a lakwataHizo gay rumours za hao wawili ni siri?
Huyo wa Chura si Mange alizimwaga?
Sidhani kama kuna Siri ya kuisimamisha Tanzania..
Kah! Hili nilikuwa sinaHizo gay rumours za hao wawili ni siri?
Huyo wa Chura si Mange alizimwaga?
Sidhani kama kuna Siri ya kuisimamisha Tanzania..
Hebu niambie hiyo siri pm. Ama inahusu mambo gani aliyofanyiwa mheshimiwaMbona inafahamika
Yeye jeri mulo alivyoingiza mambo ya ualimu wa madrasa wewe hukuliona hili kama person attack ? Au ndo kunyata anyate kinyonga, akinyata kicheche anavizia kuku...Haji jikite kwenye mambo ya michezo tu achana na person attack na unachanganya cheo cha mtu na ushabiki
Ongea na JM sio DC tofautisha cheo na ushabiki wa timu
Manara mwenyewe anatafunwaMbona inafahamika Jerry ni.....Siri hakuna hapa duniani.
Kaka Mange huwa anakukubali sana we Jamaa toka Enzi za UturnHizo gay rumours za hao wawili ni siri?
Huyo wa Chura si Mange alizimwaga?
Sidhani kama kuna Siri ya kuisimamisha Tanzania..
Hivi unamjua vizuri GENTAMYCINE? Subiria mvua ya matusiMtoa post Mjinga sana badala kupeleka upuuzi wake ..yeye anatuletea hapa kwa wazee wa siasa.