Haji Manara: Nimeshamuonya DC wa Arumeru Jerry Muro akiendelea Kunishambulia natoa Siri yake Kubwa mno na Mbaya sana

Haji Manara: Nimeshamuonya DC wa Arumeru Jerry Muro akiendelea Kunishambulia natoa Siri yake Kubwa mno na Mbaya sana

Hahahaha nilimsikiliza Haji alivyosema kwamba aliheshimu mamlaka ya uteuzi hivyo akashindwa kutoa hiyo siri hapo awali ila alimwambia ukirudia tena nitatoa siri yako hii.

Tetesi jamaa ni GASHO analiwa KIBOGA au ana michezo ya KIGASHO kama alivyosema DADA LAO LA USA.
Mmmmh utakuwa wa mjini kitambo hadi hotel watu wanaijua anayo fikiaga video zipo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli kabisa. Halafu kuna miaka fulani kuna makocha fulani wengine ni marehemu walisadikika kuwachokonoa wachezaji wa mbumbumbu fc
Hii stori ya mbumbumbu kuwa na mchezaji anayechokonolewa niliwahi isikia kitambo! Miaka ileeee ........... Ndio mana mawazo yao yapo huko huko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Muro mpumbavu wee mtu DC halafu unaanza kujibizana na raia kisa yanga angalia anaumbuka kweupe hana akili muro kama vipi ajiuzulu DC aje Yanga aache ushamba

Hajifunzi kwa makonda ni mshauri wa simba lakini haropoki hata kidogo
 
Kichwa cha Manara sijui kina nini yeye anapenda sana kuishambulia Yanga nadhani ana allege nayo yeye akijibiwa tu anakuwa mbogo sijui CV yake ikoje ameona Jerry ameenda Arumeru anaanza kutamba Hivi Mo inakuwaje unakuwa mtu mwenye kukosa adabu halafu aangalie sana anapochanganya UDC na Muro ni mamlaka tofauti usije ukaulizwa kama wakati ule ulijifanya msemaji wa familia ya MO kwani kuzaliwa Kariakoo kuna tofauti gani na kuzaliwa Katavi

Katavi na Dar kuna tofauti kubwa tu ..................ndio maana wahenga wanasema kuku mgeni hakosi kamba mguuni
 
Hii stori ya mbumbumbu kuwa na mchezaji anayechokonolewa niliwahi isikia kitambo! Miaka ileeee ........... Ndio mana mawazo yao yapo huko huko

Sent using Jamii Forums mobile app
na ile ya Utopolo FC kuwa na Kocha anachokonolewa tumeisikia kipindi fulani..........hapa karibuni .......
 
Kwa taarifa yako tu sasa unaambiwa tokea Haji Manara alipomuonya DC wako Jerry Muro juu ya hiyo Siri kubwa mno na mbaya sana Jamaa ( Jerry Muro ) amekuwa Mpole ghafla hana Raha tena na Kinachomuuma zaidi ni nani amempa hiyo Siri Haji Manara kwani Yeye hakuwaza kama iko Siku Haji Manara atakuja Kuijua. Na uone kuwa Haji Manara anajiamini unaambiwa Siku aliyomuonya DC Jerry Muro alimtumia kabisa na Meseji na ' Kumuanikia ' hadharani kabisa hiyo Siri na akaishiwa Nguvu kabisa. Kifupi DC Jerry Muro ameshikwa pabaya na awe tu Mpole na aache Kumfuatafuata Mtoto wa Mjini Kariakoo Haji Manara kwani ataumia!
La kwa Yusuph manji ni Dogo ingawa kuna Aibu moja ilimtokea pindi Yusuph manji katoka jela akajidai kwenda kumpa pole akamtoa nduki kwa matusi na maneno makali ndipo Jerry muro akaenda kumshitakia kwa Daud Bashite wakaandaa njia zingine za kumrejesha Jela tena aliposikia akatoroka na kupandia Ndege Malawi akakimbilia marekani, yapo mengi lakini Haji manara hujivunia zaidi la Tukio la Tundu lisu kule Dodoma,
 
Siri nyingi anazojivunia Haji manara siyo za yanga kwani waliompa siri akina cyprian Musiba na Le mutuz siyo viongozi wa yanga
 
Back
Top Bottom