Mambo binafsi yapi? Ukiingia kwenye mpira unapigwa kotekote usichague makonde.
Kama Jerry anaoudhaifu ambao Haji kwake ni mtaji ammalize, lkn ukipewa za uso unalialia kuomba msaada kwa wengine.
Jerry akitoa scud moja tu, Haji huweweseka muda wote. Kuna kipindi waliitwa wote studio za CLOUDS FM kipindi cha sports Extra , Haji alipofika akamwaga yake alipoambiwa subiri Basi Jerry anakuja mjibishane hoja kwa hoja .akagoma na kuondoka.
Hao anaosema marafiki zake Jimmy Kindoki anasema alimpa makavu live mpaka Kamblock Instagram, hakuna asiye Jua Haji hupenda kuwa " mfalme wa kushambulia wenzake" akikutana na KIGINGI anatapatapa mno mpaka HURUMA.