Waziri wa Kaskazini
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 7,981
- 17,743
Wewe pimbi nini, kuna mwenye ushahidi kuwa jerry ni shoga?Kwahiyo Kwenu na hasa katika Familia yako na Jamii yako Husika ' Ushoga / Utambaliziwaji ' unaruhusiwa na Wewe pia unaupenda?
Wewe pimbi nini, kuna mwenye ushahidi kuwa jerry ni shoga?
Anaongea hapa kila siku ni Haji,tangu siku ile kabla ya mechi Muro hajaongea tena,ila povu la Haji naona halijakauka,ahahaha
Haji si lolote wala chochote kwa Muro,hilo wote twajua,mwache abwatuke,siye twasubiria tuingie fainali na Simba kombe la FA,hapo ndipo Muro ataibuka tena,tumchape mnyama na kisha Haji afunge domo lakeKatika watu wanaomuweza na kumtesa sana Haji ni DC Jerry! Tangu enzi zile mpaka leo Jerry anampatia mno Haji! Tatizo Haji anapenda kuonekana yeye ni zaidi, sasa akichapwa huwa anateseka sana!
Sent using Jamii Forums mobile app
Muro si lolote wala chochote kwa Muro,ilo liko waziMambo binafsi yapi? Ukiingia kwenye mpira unapigwa kotekote usichague makonde.
Kama Jerry anaoudhaifu ambao Haji kwake ni mtaji ammalize, lkn ukipewa za uso unalialia kuomba msaada kwa wengine.
Jerry akitoa scud moja tu, Haji huweweseka muda wote. Kuna kipindi waliitwa wote studio za CLOUDS FM kipindi cha sports Extra , Haji alipofika akamwaga yake alipoambiwa subiri Basi Jerry anakuja mjibishane hoja kwa hoja .akagoma na kuondoka.
Hao anaosema marafiki zake Jimmy Kindoki anasema alimpa makavu live mpaka Kamblock Instagram, hakuna asiye Jua Haji hupenda kuwa " mfalme wa kushambulia wenzake" akikutana na KIGINGI anatapatapa mno mpaka HURUMA.
Scud moja tu ya Muro inamtosha huyu HajiSahizi mnampamba huyu mzungu akija kubomolewa tena mnaanza kulia pamoja!
Rudia ueleweki , sababu yake ni kile unachotaka kukiandika hakina uzito .Muro si lolote wala chochote kwa Muro,ilo liko wazi
Huyu Jenny Mulo ndio yule msengmaji ws Yanga aliyekua ITV??Kwahiyo jamaa ni Jenny Muro badala ya Jerry Muro?
Hebu sema astaghfilulahi. Ni dhambi kuzusha na kumuongelea binadamu mwenzako kwa mambo mazito kama hayo.Mmmmh utakuwa wa mjini kitambo hadi hotel watu wanaijua anayo fikiaga video zipo
Sent using Jamii Forums mobile app
ushaelewa tayariRudia ueleweki , sababu yake ni kile unachotaka kukiandika hakina uzito .
Sasa bro nieleweshe ulichoandika ni hikiushaelewa tayari
Ndo huyo huyo.Huyu Jenny Mulo ndio yule msengmaji ws Yanga aliyekua ITV??
Najua umenielewaNdo huyo huyo.
Usiwe mkali ndugu,huenda walaji wapo humu humu.kuwa mpoleWewe pimbi nini, kuna mwenye ushahidi kuwa jerry ni shoga?
manara anaitwa na kigogo kule twitter akajibu tuhuma zake [emoji3]
Halafu, wale wenye kelele ndo inabidi kuwaangalia kwa makini.Wanaume tunazidi kupungua kwa kasi sana
Halafu, wale wenye kelele ndo inabidi kuwaangalia kwa makini.